Wangapi mnaikumbuka Yanga hii kabla ya Instagram? Tuwataje waliopo kikosini

Teko Modise

JF-Expert Member
May 20, 2017
1,911
6,001
Ngoja tuone leo wangapi mnakumbulumbu, twende kazi

0DF2806E-8B1D-4A9C-85E4-B8B30E564575.jpeg
 
Waliochuchumaa kuanzia julia.
Nursing Bakari,Godfrey Bony,Fred Mbuna,Mrisho Ngassa.
 
Mimi si mkongwe sana ila kwa hrkhrk namuona Ngasa,Nurdin Bakari,Mbuna,Abdi Kaasim,Kaseja,Godfrey Bonny(r.i.p),Ambani,huyo mweupe aliyesimama sina uhakika sana nahisi ni Wisdom Ndlovu hao wawili upande wa kushoto mmoja kasimama mmoja kachuchumaa yaani mmoja yupo nyuma ya mwenzie siwakumbuki vzr ila kwa kubahatisha saaaaana aliyechuchumaa ni Rashid Gumbo
 
Mimi si mkongwe sana ila kwa hrkhrk namuona Ngasa,Nurdin Bakari,Mbuna,Abdi Kaasim,Kaseja,Godfrey Bonny(r.i.p),Ambani,huyo mweupe aliyesimama sina uhakika sana nahisi ni Wisdom Ndlovu hao wawili upande wa kushoto mmoja kasimama mmoja kachuchumaa yaani mmoja yupo nyuma ya mwenzie siwakumbuki vzr ila kwa kubahatisha saaaaana aliyechuchumaa ni Rashid Gumbo
Nilimsahau Kigi Makasi
 
..yes na huyo wa mwisho kulia kwa mrisho ngasa nadhani ni Ally Shamte wakati huo akicheza number 7
Ewaaaaaa nilichanganya na Mrisho Gumbo kipengere huyo aliyesimama nyuma ya Shamte sijui ni nani
 
Mimi si mkongwe sana ila kwa hrkhrk namuona Ngasa,Nurdin Bakari,Mbuna,Abdi Kaasim,Kaseja,Godfrey Bonny(r.i.p),Ambani,huyo mweupe aliyesimama sina uhakika sana nahisi ni Wisdom Ndlovu hao wawili upande wa kushoto mmoja kasimama mmoja kachuchumaa yaani mmoja yupo nyuma ya mwenzie siwakumbuki vzr ila kwa kubahatisha saaaaana aliyechuchumaa ni Rashid Gumbo
....umejitahidi lakini Rashid Gumbo hayupo hapo pichani. Huyo wa kushoto kabisa walioinama ni Shamte Ally
 
Mimi si mkongwe sana ila kwa hrkhrk namuona Ngasa,Nurdin Bakari,Mbuna,Abdi Kaasim,Kaseja,Godfrey Bonny(r.i.p),Ambani,huyo mweupe aliyesimama sina uhakika sana nahisi ni Wisdom Ndlovu hao wawili upande wa kushoto mmoja kasimama mmoja kachuchumaa yaani mmoja yupo nyuma ya mwenzie siwakumbuki vzr ila kwa kubahatisha saaaaana aliyechuchumaa ni Rashid Gumbo
Yes white ni Wisdom Ndlovu
 
Mimi si mkongwe sana ila kwa hrkhrk namuona Ngasa,Nurdin Bakari,Mbuna,Abdi Kaasim,Kaseja,Godfrey Bonny(r.i.p),Ambani,huyo mweupe aliyesimama sina uhakika sana nahisi ni Wisdom Ndlovu hao wawili upande wa kushoto mmoja kasimama mmoja kachuchumaa yaani mmoja yupo nyuma ya mwenzie siwakumbuki vzr ila kwa kubahatisha saaaaana aliyechuchumaa ni Rashid Gumbo
Kipindi hicho nasikiliza kwa redio tuu.
 
Ally Shamte, Ngasa, Godfrey Bonny, Fred Mbuna, Nurdin Bakari, Ambani, Ndlovu, Abdi Kassim, Kaseja na Edwin Mukenya
 
Mimi si mkongwe sana ila kwa hrkhrk namuona Ngasa,Nurdin Bakari,Mbuna,Abdi Kaasim,Kaseja,Godfrey Bonny(r.i.p),Ambani,huyo mweupe aliyesimama sina uhakika sana nahisi ni Wisdom Ndlovu hao wawili upande wa kushoto mmoja kasimama mmoja kachuchumaa yaani mmoja yupo nyuma ya mwenzie siwakumbuki vzr ila kwa kubahatisha saaaaana aliyechuchumaa ni Rashid Gumbo
Ambani bado ako hai
 
Back
Top Bottom