Teko Modise
JF-Expert Member
- May 20, 2017
- 1,911
- 6,001
Ngoja tuone leo wangapi mnakumbulumbu, twende kazi
..yes na huyo wa mwisho kulia kwa mrisho ngasa nadhani ni Ally Shamte wakati huo akicheza number 7Waliochuchumaa kuanzia julia.
Nursing Bakari,Godfrey Bony,Fred Mbuna,Mrisho Ngassa.
Nilimsahau Kigi MakasiMimi si mkongwe sana ila kwa hrkhrk namuona Ngasa,Nurdin Bakari,Mbuna,Abdi Kaasim,Kaseja,Godfrey Bonny(r.i.p),Ambani,huyo mweupe aliyesimama sina uhakika sana nahisi ni Wisdom Ndlovu hao wawili upande wa kushoto mmoja kasimama mmoja kachuchumaa yaani mmoja yupo nyuma ya mwenzie siwakumbuki vzr ila kwa kubahatisha saaaaana aliyechuchumaa ni Rashid Gumbo
Ewaaaaaa nilichanganya na Mrisho Gumbo kipengere huyo aliyesimama nyuma ya Shamte sijui ni nani..yes na huyo wa mwisho kulia kwa mrisho ngasa nadhani ni Ally Shamte wakati huo akicheza number 7
....umejitahidi lakini Rashid Gumbo hayupo hapo pichani. Huyo wa kushoto kabisa walioinama ni Shamte AllyMimi si mkongwe sana ila kwa hrkhrk namuona Ngasa,Nurdin Bakari,Mbuna,Abdi Kaasim,Kaseja,Godfrey Bonny(r.i.p),Ambani,huyo mweupe aliyesimama sina uhakika sana nahisi ni Wisdom Ndlovu hao wawili upande wa kushoto mmoja kasimama mmoja kachuchumaa yaani mmoja yupo nyuma ya mwenzie siwakumbuki vzr ila kwa kubahatisha saaaaana aliyechuchumaa ni Rashid Gumbo
... Nyuma ya Shamte Ni Boniface AmbaniEwaaaaaa nilichanganya na Mrisho Gumbo kipengere huyo aliyesimama nyuma ya Shamte sijui ni nani
Sina kumbukumbu sawasawa 2010 ama 2011 simba anakufa 2-1 kombe la tusker goli la pili alifunga Ally Shamte nilikuwa Minaki those days!..yes na huyo wa mwisho kulia kwa mrisho ngasa nadhani ni Ally Shamte wakati huo akicheza number 7
Yes white ni Wisdom NdlovuMimi si mkongwe sana ila kwa hrkhrk namuona Ngasa,Nurdin Bakari,Mbuna,Abdi Kaasim,Kaseja,Godfrey Bonny(r.i.p),Ambani,huyo mweupe aliyesimama sina uhakika sana nahisi ni Wisdom Ndlovu hao wawili upande wa kushoto mmoja kasimama mmoja kachuchumaa yaani mmoja yupo nyuma ya mwenzie siwakumbuki vzr ila kwa kubahatisha saaaaana aliyechuchumaa ni Rashid Gumbo
Kipindi hicho nasikiliza kwa redio tuu.Mimi si mkongwe sana ila kwa hrkhrk namuona Ngasa,Nurdin Bakari,Mbuna,Abdi Kaasim,Kaseja,Godfrey Bonny(r.i.p),Ambani,huyo mweupe aliyesimama sina uhakika sana nahisi ni Wisdom Ndlovu hao wawili upande wa kushoto mmoja kasimama mmoja kachuchumaa yaani mmoja yupo nyuma ya mwenzie siwakumbuki vzr ila kwa kubahatisha saaaaana aliyechuchumaa ni Rashid Gumbo
Alikuwa mmalawi?Yes white ni Wisdom Ndlovu
Ambani bado ako haiMimi si mkongwe sana ila kwa hrkhrk namuona Ngasa,Nurdin Bakari,Mbuna,Abdi Kaasim,Kaseja,Godfrey Bonny(r.i.p),Ambani,huyo mweupe aliyesimama sina uhakika sana nahisi ni Wisdom Ndlovu hao wawili upande wa kushoto mmoja kasimama mmoja kachuchumaa yaani mmoja yupo nyuma ya mwenzie siwakumbuki vzr ila kwa kubahatisha saaaaana aliyechuchumaa ni Rashid Gumbo