Mr Misifa
JF-Expert Member
- Sep 13, 2019
- 255
- 470
Habari za mda huu wajameni nadhani mtakuwa poa sana
Kama ambavyo kichwa cha mada kinavojieleza vizur je ni nani amejiandaa kuwa tayar kumpokea kwa kumsikiliza mwana habar na mtangazaji pendwa na nguri wa habar za michezo Tanzania wa kuitwa Maulid wa Kitenge na kwenzake wa 3 kwa mara ya kwanza asubuhi saa 1 na jioni ndani mawimbi na masafa ya 88.9 Wasafi fm!! ??
Kama ambavyo kichwa cha mada kinavojieleza vizur je ni nani amejiandaa kuwa tayar kumpokea kwa kumsikiliza mwana habar na mtangazaji pendwa na nguri wa habar za michezo Tanzania wa kuitwa Maulid wa Kitenge na kwenzake wa 3 kwa mara ya kwanza asubuhi saa 1 na jioni ndani mawimbi na masafa ya 88.9 Wasafi fm!! ??