Ntemi Kazwile
JF-Expert Member
- May 14, 2010
- 2,182
- 307
Wadau jana nilikuwa najimwaya mwaya na ka Airtel kangu nikiongea na mzaa chema nikijua kuwa ukiwa na Airtel mambo ni nusu shilingi kwa sekunde, mara nikasikia kisauti kilichokuwa kinani-alart kuwa salio linaisha nikapuuzia kwa sababu nilijua nilikuwa nimeweka ki mia tano na kwa mahesabu yangu ningeongea kwa dk siyo pungufu ya 8.... mara simu ikakatika nilipocheck salio ilikuwa sh1.36 nikahamaki kumbe wenyewe walishapandisha bei tangia majuzi na hawajatujulisha!
Kuweni makini msije adhirika kama mie~~~
Kuweni makini msije adhirika kama mie~~~