Wandugu kwa sheria yetu ya Tanzania,je raia anarusiwa kuvaa Bulletproof?

MakinikiA

JF-Expert Member
Jun 7, 2017
5,011
6,542
upload_2017-9-14_11-12-55.png

upload_2017-9-14_11-17-0.png

upload_2017-9-14_11-15-57.png

The BulletSafe Bulletproof Vest - Level IIIA for $299 - The Best Value
 

Attachments

  • upload_2017-9-14_11-11-46.png
    upload_2017-9-14_11-11-46.png
    21.8 KB · Views: 30
kama kuwa na silaha wanaruhusu si ajabu kuvaa bullet proof mkuu
 
ivi hao watengenezaji kwanin hawajatengeneza za mwili mzima hadi Leo? kichwa na kifua udelicate wake unaalingana tu
 
Tanzania aliyokuwa anaijenga Mwalimu ilikusudia bidhaa kama hii kuwa haramu lakini hii ya sasa inabidi upatikanaje wake uwe rahisi na kwa wingi, ikiwezekana zishushwe bei!
 
Ni vyema kuchukua tahadhari kabla ya hatari, Lakini sheria sidhani kama inaruhusu kuvaa bulletproof
 
Kofia ya chuma risasi inapita vizuri.
Nilimuuliza mkufunzi wa jeshi why vitani ziwaliwe hard helmet akajibu ni kwa ajili ya kumkinga askari na magamba ya risasi anazoziachia yeye na jirani yake na pia inakinga baadhi ya adha ila risasi iliyolengwa kwako haiwezi kukingwa na yale makofia labda risasi iliyotoka
mbali sana huku inahitimisha mwendo wake ndo yaweza kugonga tu
sio kweli mkuu usidanganye uma ila kwakuwa haupo kwenye hiyo fani sio mbaya helmet ya chuma inasaidia risasi haikupati kwakuwa ipo round inafanya risasi kuteleza hivyo ngumu kuingia kichwani
 
Kofia ya chuma risasi inapita vizuri.
Nilimuuliza mkufunzi wa jeshi why vitani ziwaliwe hard helmet akajibu ni kwa ajili ya kumkinga askari na magamba ya risasi anazoziachia yeye na jirani yake na pia inakinga baadhi ya adha ila risasi iliyolengwa kwako haiwezi kukingwa na yale makofia labda risasi iliyotoka
mbali sana huku inahitimisha mwendo wake ndo yaweza kugonga tu
Inakinga vizuri tu acha uongo,usilolijua sawa na usiku wa giza,penda kutetea kitu cha fani yako unachojua
 
Basi tufunge mjadala.
Wewe hujawahi kupigwa risasi ikateleza na wala mimi.
Sote tumeambiwa na watu tu. Mimi niliambiwa na OC wetu while niko jeshini miaka kadhaa iliyopita nawewe yawezekana uliambiwa na Kamanda wako au mtu mwingine.
Kila mmoja akariri aliloambiwa.
Siko jeshini ila niko kwenye chombo cha ulinzi na usalama.
Nadhani sio kwa nchi zote
. Mfano jeshi la marekani wanatumia kofia za chuma ambazo hazipitishi risasi
 
Back
Top Bottom