mnyanyaswaji
JF-Expert Member
- Nov 10, 2009
- 478
- 117
Mwanakijiji:Nadhani we si mgeni na hii serikali,unaweza ukafungua kesi ata 90 na usishinde ata moja so kwa wanafunzi kukimbilia mahakamani ni Wastage of time.Hawa wanafunzi kama wanaona wana haki ya kufanya siasa vyuoni kwanini wao wasifungue kesi ya Kikatiba kudai haki yao ya msingi na badala yake wanaiomba serikali iwaruhusu kana kwamba wanaishi chini ya utawala wa kifalme?
Muhimu kupita yote kwa wana JF wote ni kwamba tunapenda sana kuonyeshana umaridadi wa kuandika maneno humu na kujifanya tuna data za kila kona but UTENDAJI zero!! We need ACTIONS now sio porojo. Itafika kipindi hizi nyimbo za Dowans,Tanesco,EPA,KATIBA mpya,maisha magumu,uonevu wa walalahoi,mauaji ya innocent people etc etc zitazoeleka na watu kuona kama udaku tu. Wengi wetu tunakereka kusikia hizi habari bila kuchukuliwa hatua nzito kwa uoga wa wengi au kutafuta sifa humu JF then basi.
Ushauri wangu,Hatua kali zichukuliwe kuikomboa nchi na si kumwachia RA na EL wake watuweka pabaya kila kukicha
Enough is enough! Viongozi wa kisiasa au yeyote anayekubalika kny jamii tamko lake we need muongozo na sio mambo ya kilelemama kwani tunaumia sana na hali ya sasa kama sio wasomi bwna.
KINACHOKERA:Wengi wetu ni wepesi wa kusahau matukio na linapotokea jipya tunakimbilia kulalamika humu JF kama watoto vile. Mfano wapi issue ya EPA,KIWIRA,LOLIENDO,mauaji ya kina zombe,chemicals za mgodini Mara,uwizi wa kura,etc na sasa Dowans.
Hitimisho:Tuache kuwaza sana mambo madogo ambavyo vinamzuia mtu kuwa mjasiri wa kuchukua maamuzi. Tusipotake action kali within this month JF itakuwa sawa na blog ya udaku ktk kila nyanja na sio GreatThinkers km ilivyo.
Tuache porojo we need ACTION ACTION x10. Inakera porojo kila siku. Bora tukae kimya kama hatuwezi lkn hamna mtu wa kukusikiliza kilio chako kwa watawala wote lao moja.
Nawakilisha