Wanazi wa Mabasi: Huu Ndiyo Uwekezaji Sasa!

Wanazi wa Mabasi: Huu Ndiyo Uwekezaji Sasa!

Sijasema tunabishana kiongozi ila kauli zenu Kuna wajinga wengi mno humu wanaziamini....nina ndugu yangu yupo humu jamii forum kamaliza chuo ndio anakutana na wapuuzi wa humu wanadai kilimo cha kutegemea mvua ni kamari mbaya sana chakushangaza dogo nae akaamini...

Kauli yangu mimi ni ndogo tuu; sijasema biashara ya basi haina faida, wala sijalenga kumpotosha mtu.
Mtoa mada ameposti gari hizo. Hizo gari kwa taarifa zangu za vijiweni, sio pesa kidogo, unazumgumzia billions of money hapobka basi hizo nne tuu.
Hiyo pesa kurudi kwake kitakuwa mwendo wa kinyonga bila kujali route zitakazokuwepo.
 
Kauli yangu mimi ni ndogo tuu; sijasema biashara ya basi haina faida, wala sijalenga kumpotosha mtu.
Mtoa mada ameposti gari hizo. Hizo gari kwa taarifa zangu za vijiweni, sio pesa kidogo, unazumgumzia billions of money hapobka basi hizo nne tuu.
Hiyo pesa kurudi kwake kitakuwa mwendo wa kinyonga bila kujali route zitakazokuwepo.
Tambua ipo hivi huyo ni tajiri mkubwa sana kama kaweza kumiliki hizo basi...nawatu wa aina hiyo hawakurupuki
 
Mugonile/Mlivyedi
Привет hii ni kutoka hapa chuo kikuu cha RUDN.

Moja kwa moja kwenye hoja.
Nawapongeza wawekezaji kama huyu jamaa ambaye nasikia ni kutoka nyanda za juu kusini huku mbeya.

View attachment 3601179

Hizi ndiyo mashine za kazi sasa na hapa kachukua nne kwa mpigo, hii nampa 👊🏾 sababu angeweza kushuka hapo Shenzhen au Guangzhou akabeba zile taka ubishi kama bus 8 na kifungashio moja 😆!

Na nilipochungulia whatsap nikaona jamaa anasema Mkurugenzi kachukua madereva wa iliyokuwa kampuni ya Sauli wanne.

Haya wanazi na wadau wa usafirishaji, mgeni huyooo anatroti.

Sina neno ila namsifu sana huyu jamaa kwa ujasiri huu.

Watu wa mbeya mnogile!.

Nawasilisha.
Kutoka Kremlin.
Kujadili habari za mabasi mwisho miaka mingapi?
 
Hata kilimo nacho unadhani kina uhakika kwa asilimia zote? Mbona wengi sana kilimo kimewafilisi je napo tuseme kilimo hakina maana?

Huyo bwana bila kujali route; kuanza kula faida ya hiyo gari sio chini ya miaka mitatu au minne. Hapo tunachukulia risks zingine hamna. Sio gari ya pesa kidogo hiyo.
 
Mimi sijazungumzia utajiri wake; nimezungumzia biashara hiyo kwa uhalisia. Kama hutajali tupige hapa hesabu za uhalisia.
Tuchukulie gari hizo ataziweka route gani?
Unaona sasa ujue nilidhani tangu mwanzo unajua route atakayoenda kumbe haujui sasa tutapiga hesabu gani ?
 
Biashara ya usafirishaji wa abiria ni biashara kama zilivyo biashara nyingine.
Biashara hiyo inahitaji nidhamu ya hali ya juu, kama huna nidhamu kwenye biashara hiyo miaka miwili tu utaenda kuuza magari yako kwenye chuma chakavu.
 
Biashara ya usafirishaji wa abiria ni biashara kama zilivyo biashara nyingine.
Biashara hiyo inahitaji nidhamu ya hali ya juu, kama huna nidhamu kwenye biashara hiyo miaka miwili tu utaenda kuuza magari yako kwenye chuma chakavu.
Umeongea jambo la msingi sana nidhamu ni kila kitu nina brother wangu yupo nannyanga kupata milion 15 za korosho ni jambo la kawaida ila chakushangaza mwezi wa 7 anakuambia sina hata mia nipe kula Maua kwa bei ya sh 1000 kwa kilo
 
Eti mtu unamfanyia rejea summry nenda ukalime mahindi uone

Wewe utakuwa na shida binafsi na Sumry, huko juu umesema Sumry hakustui. Sasa unakataza tusifanye rejea kwa mtu ambaye kafanya biashara tunayoiongelea kwa miaka 30!
 
Namimi nikakuomba unitajie biashara ambayo mtaji ni mdogo ila faida ni kubwa sana na haina sifa

Naweza kukutajia biashara kubwa yenye mtaji mkubwa na faida kubwa. Biashara ya basi, inamtaji mkubwa faida kidogo na ya kusua sua.
Ndio hoja yangu toka mwanzo.
 
Wewe utakuwa na shida binafsi na Sumry, huko juu umesema Sumry hakustui. Sasa unakataza tusifanye rejea kwa mtu ambaye kafanya biashara tunayoiongelea kwa miaka 30!
Mimi simjui hata sura yake ila taarifa zake nilizipata humu mtandaoni kwahiyo siwezi kuwa na shida binafsi na mtu nisiejuana nae kiongozi...mzee kikwete alisema akili za kuambiwa changanya na zako...summry anadai kilimo cha mahindi kinamlipa sana kiasi kwamba mtu mwingine anajiuliza mahindi hayahaya?
 
Back
Top Bottom