Wanayanga SC mmemsikia na kumuelewa Mchambuzi Oscar Oscar wa EFM na TvE?

Nimetoa maelezo namna ya kambi za nje ya nchi yako zinavyokuwa za kimkakati hasa hasa kwa kujiandaa na next season competitions

Na hii nimeongelea kwa taaluma ya football Inavyosema ktk moja ya mafunzo ya ukocha ngazi ya CAF leseni A
 
Nimetoa maelezo namna ya kambi za nje ya nchi yako zinavyokuwa za kimkakati hasa hasa kwa kujiandaa na next season competitions

Na hii nimeongelea kwa taaluma ya football Inavyosema ktk moja ya mafunzo ya ukocha ngazi ya CAF leseni A
Kwani wangeweka kambi Morogoro hiyo mikakati wasingepanga ?
 
Kwahiyo Arsenal hakufungwa na Brentford ?
Kufungwa huwa ni sehemu ya mchezo mkuu ila haizuii mikakati yao katika kambi waliyoweka coz target ni michezo yote ndani ya msimu mzima na hiyo haijalishi utapoteza mechi ngapi
 
Back
Top Bottom