Mkuu Yanga kumkumbuka Hamisi Kiiza "diego" sioni shida kwa vile hata leo Yanga bado wanawakumbuka Hamisi Gaga "Gagarino" rip, Lunyamila, Sahau Said Kambi - rip, Abubakar Salum Sr, Nemes, Mbuna, Salum Kabunda "Ninja", Pondamali, Juma Shaban, Method Mogella - rip, Nonda, Ngassa Sr, ni wengi tu mkuu @pdiddy!
tuna tatizo kwenye soka/michezo Tanzania. Kwa hiyo hata huo uwezo wa kumkumbuka mchezaji au mdau yeyote ni tatizo pia na ndio maana wangelikuwa na uwezo huo wa kukumbuka wasingelikuwa wanafanya wanayoyafanya!
tuna tatizo kwenye soka/michezo Tanzania. Kwa hiyo hata huo uwezo wa kumkumbuka mchezaji au mdau yeyote ni tatizo pia na ndio maana wangelikuwa na uwezo huo wa kukumbuka wasingelikuwa wanafanya wanayoyafanya!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.