UncleBen
JF-Expert Member
- Oct 27, 2014
- 9,598
- 11,993
Jiulize ,halafu ukipata jibu ndio uelewe sio kila anachokifanya mwanamke basi mwanaume anaweza ,au kila anachokifanya mwanamme basi mwanamke anaweza ,Sijawahi kujiuliza hilo swali, na kwanini inakuwa possible kwa mwanamke.
Tunatofautiana sana ,na hata kimajukumu hatuwezi kuwa sawa