Song il gok
JF-Expert Member
- Feb 23, 2015
- 878
- 936
Wanachama wa yanga wamekubaliana rasmi kumbembeleza mwenyekiti wao kipenzi bwana Yusuf Manji aachane na mpango wake wa kujiuzulu.
Angalia video hii
Angalia video hii
Mtaa wa Jangwani pale kariakoo mkuu, Lumumba ni mbali kidogokwanza hii timu si ni ya lumumba
Itakuwa hivyo maana hizo jezi zao za kijani zinafanana na za wale jamaa wa Lumumba.kwanza hii timu si ni ya lumumba
Jamaa gani mkuu?Itakuwa hivyo maana hizo jezi zao za kijani zinafanana na za wale jamaa wa Lumumba.
Yote sawa mkuuJamaa amechanganyikiwa hadi anasema Yahya Akilimali badala ya Ibrahim Akilimali. Kweli njaa inavuruga watu