Kingsmann
JF-Expert Member
- Oct 4, 2018
- 4,440
- 16,242
Unasubiri nn kuja kwangu sasa, ebu fanya kama wajikuna basiii.🤪Uwezo mzuri kiuchumi na nguvu za kiume. ........huyu kwangu ndiye dume la mbegu
Sent using Jamii Forums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unasubiri nn kuja kwangu sasa, ebu fanya kama wajikuna basiii.🤪Uwezo mzuri kiuchumi na nguvu za kiume. ........huyu kwangu ndiye dume la mbegu
Sent using Jamii Forums mobile app
Uwezo mzuri kiuchumi na nguvu za kiume. ........huyu kwangu ndiye dume la mbegu
Sent using Jamii Forums mobile app
Utakuwa umempendea hela huyo mwanaume kapeace
Wenye vyote kwa pamoja walikufa kwenye vita ya pili ya duniaUnasubiri nn kuja kwangu sasa, ebu fanya kama wajikuna basiii.
Ukiwa na hela ......hiyo ishu lazima ikushinde tuNina sifa sitahiki za mimi kuwa dume la mbegu kwako kapeace
Hahaha...
"Enough of No Love"
Ukiwa na hela ......hiyo ishu lazima ikushinde tu
Ukiwa na nguvu za kiume.....hela huwezi kuwa nayo
Na haya mambo yanategemeana ...hela tu bila nguvu ....kugongewa ni lazima
Nguvu bila hela ...kugongewa ni lazima
Sent using Jamii Forums mobile app
Hahahaha hii promo nimeielewa sanaHahaha...nimejariwa/barikiwa kuwa na vyote kapeace.
Nguvu za kiume ninazo mpaka huwa natafuta dawa ya kuzipunguza
Hela ninazo japo hazitoshi sababu bado nazitafuta
Ni wewe tu kuwa na utayari mkuu
"Enough of No Love"
Tehteh...
Labda wewe unasemea kwa watoto wa mama au wazee my dear kuna wenye vyote ana pesa na bed anakaza kisawasawa... Mpaka unaweza kimbia 😁Ukiwa na hela ......hiyo ishu lazima ikushinde tu
Ukiwa na nguvu za kiume.....hela huwezi kuwa nayo
Na haya mambo yanategemeana ...hela tu bila nguvu ....kugongewa ni lazima
Nguvu bila hela ...kugongewa ni lazima
Sent using Jamii Forums mobile app
Haha haha wakikusikia hao jamaa mi najua ukipiga sana tizi nyama zinapanda juu chini unakua kama 9 afu kwenye game hao jamaa hawana pumzi ndefu hawachelewi kutepetaSamahani mtoa mada ni kwanini hao wenye shape ya namba moja huwa kamjamaa kamenyweaaa, kwani ukipiga tizi kamjamaa kanapotea?
mbavu neneWe hata uwe na umbo lako la pentagon cha muhimu pesa.
Haha haha wakikusikia hao jamaa mi najua ukipiga sana tizi nyama zinapanda juu chini unakua kama 9 afu kwenye game hao jamaa hawana pumzi ndefu hawachelewi kutepeta
muhogo,nazi,karanga tende,asali
Kitambi noma zaidi nawao hua wana viboo vidogo Bora slim au mwenye mwili wastani kama mimi asiwe mbavu au kitambi bonge nyanya siku ukikutana na hao nliokutajia utakunwa mpaka utaona jamaa ako anakupapasaga tu
Kwahiyo bora mr kitambi wangu.
Nice, umefunguka vizuri.Pesa pesa pesa
Hamna mwanamke asiyependa uhakika wa maisha yake na wanae
Tunatofautiana kuyavumilia mapito magumu kiuchumi
Lakini tangu zamani ilikuwa binti akipata mchumba itaangaliwa familia ya mchumba wake uwezo wake kiuchumi kama idadi ya mifugo, mashamba nk
Utaulizwa mumeo mtarajiwa anafanya shughuli gani
Sijishughulishi kabisa na muonekano wa mwanaume
Mwanaume awe na uchumi mzuri + nguvu za kiume......dunia kwake ni pepo
Sent using Jamii Forums mobile app
Wewe umejuaje maumbile ya wanaume wenzio? Au mwenzetu weweKitambi noma zaidi nawao hua wana viboo vidogo Bora slim au mwenye mwili wastani kama mimi asiwe mbavu au kitambi bonge nyanya siku ukikutana na hao nliokutajia utakunwa mpaka utaona jamaa ako anakupapasaga tu
muhogo,nazi,karanga tende,asali
Haha haha hata blue print zilivyojaa mitandaoni huzioniWewe umejuaje maumbile ya wanaume wenzio? Au mwenzetu wewe