Ngoja waje ila kule ulisema hutaki men kwakuwa kaachishwa kazi. "Kurukaruka kwa maharage ndy kuiva kwake" Uwe makini dunia wakati huu inakwenda kasi ya 120 kwa saa,utaweza.
Ngoja ufikishe miaka 30,halafu nione kama utakuja na msemo huu!
Ninamiaka 35
Ninamiaka 35
Hueleweki!Watu wananishambulia .mwanaume pesa ndio maana mna chitiwa.elimu muhimu lakini iwe inaingiza pesa .
Ninamiaka 35
Watu wananishambulia .mwanaume pesa ndio maana mna chitiwa.elimu muhimu lakini iwe inaingiza pesa .
msamehe bure!aliyekuambiwa tunachitiwa nani??
Hii miaka haiwezi ikawa yako labda useme hizi thread unaandika kufurahisha!
Kwa hizi thread zako hiyo miaka toa 15
Ninamiaka 35
Ninamiaka 35