Umeona eeeee.Tena kiazi chenyewe chelema hakiivi hata kikipikwa kwenye makaa ya mawe
Madushe yenyewe hayapandi mtungi mpaka mvute mjani?Vyura wa Dsm bana...maji ni machache wanaogelea nchi kavu....karibuni chugga .....dushelele hadi kucheleee....papuchi....hadi inapiga salute...
Thubutu yako beibiii...pichu mwezi huvai pooling ya kufa mnyama...huku no vilaini dodi chipsi yai,kuku wa wiki .vilaini NO...goli moko tu utaomba poo au utahairisha mechi ila weye umamalizaMadushe yenyewe hayapandi mtungi mpaka mvute mjani?
Bora tubaki na waume zetu wa Dar, tuogelee nao madimbwini.
Wiki ijayo nakuja Ara, nitaakutafuta.Thubutu yako beibiii...pichu mwezi huvai pooling ya kufa mnyama...huku no vilaini dodi chipsi yai,kuku wa wiki .vilaini NO...goli moko tu utaomba poo au utahairisha mechi ila weye umamaliza
Mlete chura wako aogelee kwenye maji ya kutosha na yenye rutuba ya kutosha na apate mlo kamili na siyo jangwani atakufa hakika.Wiki ijayo nakuja Ara, nitaakutafuta.
Umeona eeeee.
Na mkewe ana kazi kama ameoa
Chura atafia topeni.Mlete chura wako aogelee kwenye maji ya kutosha na yenye rutuba ya kutosha na apate mlo kamili na siyo jangwani atakufa hakika.
Asipooa, basi ataolewa bila matarumbetaAmuoe nani huyo nae
Wa kumpigia matarumbeta nani, labda miluzi kama mbwaAsipooa, basi ataolewa bila matarumbeta
We mponde afu kesho na keshokutwa nisikie umefumaniwa nae.....nitakuzomea mpaka kiama.Wa kumpigia matarumbeta nani, labda miluzi kama mbwa
Anytime nimeshatoa makomeoNimekutembelea nikakuta komeo mlangoni na kufuli inaning'inia kwa nje kujulisha umefunga mlango kwa nje, jee nikusubirie au unipangie nije tena lini.
Pasco
NyoooWe mponde afu kesho na keshokutwa nisikie umefumaniwa nae.....nitakuzomea mpaka kiama.
Bado kufuli liko kwa nje.Anytime nimeshatoa makomeo