Mathias Raymond Nyakapala
JF-Expert Member
- Mar 1, 2017
- 2,182
- 1,490
Tatizo lako na wewe mlalamishi sana na mjuaji ndo maana jamaa kajiongeza anakudanganya mpaka Umri wako....
Angekwambia wazazi wake ni choka mbaya, na ni ombaomba ungemkubalije?Jamani hivi wamama mnawezaje kumudu hawa wanaume wabinafsi? Yaan mwanaume asiyesikia uchungu au maumivu ambaye wewe kama mwanamke wake unayapitia
Mwanaume opportunitist tu,selfish tu, anajali tu maisha yake tu
Mwanaume ambaye ni muongo kwa asilimia 99
Kudanganya kupo ila sio huyu wangu aisee kila kitu lazima adanganye hadi wazazi wake alinidanganya
Najuta kuzaa na hili jianaume looh ningejua kipindi kile cha mimba ningetoa tu ila huyu mwacheni siku yake itafika tu
wwe ndiyo unasababisha haya yote, mpaka mtu anashindwa kujiaamini kwa kupenda zako Makuu,kila kitu unataka wwe kisa Mtoto!!Kweli kbs yule mbwa hajiamini
Sasa amekuhaidi nini!? Ambacho hajatekeleza!?Walaa hana senti wala dollah
Tena awe na huhakika Kama kweli hiyo ni damu yake!! Ndiyo anaweza fikiriwa japo kidogo!! Tatizo la baadhi ya Wanawake wanapenda kutega Wanaume kwa kushika Mimba, ndiyo maana mwisho wa siku wanajikuta wameaachwa solembaa!!Si mpaka huyo aliyekuzalisha awe na akili za kulea wanawake ndio mko liable by 100%