Wanawake wenzangu mnawezaje kumudu wanaume wabinafsi waongo wanaojifikiria wao tu?

Jamani hivi wamama mnawezaje kumudu hawa wanaume wabinafsi? Yaan mwanaume asiyesikia uchungu au maumivu ambaye wewe kama mwanamke wake unayapitia

Mwanaume opportunitist tu,selfish tu, anajali tu maisha yake tu

Mwanaume ambaye ni muongo kwa asilimia 99

Kudanganya kupo ila sio huyu wangu aisee kila kitu lazima adanganye hadi wazazi wake alinidanganya

Najuta kuzaa na hili jianaume looh ningejua kipindi kile cha mimba ningetoa tu ila huyu mwacheni siku yake itafika tu
Angekwambia wazazi wake ni choka mbaya, na ni ombaomba ungemkubalije?
 
Si mpaka huyo aliyekuzalisha awe na akili za kulea wanawake ndio mko liable by 100%
Tena awe na huhakika Kama kweli hiyo ni damu yake!! Ndiyo anaweza fikiriwa japo kidogo!! Tatizo la baadhi ya Wanawake wanapenda kutega Wanaume kwa kushika Mimba, ndiyo maana mwisho wa siku wanajikuta wameaachwa solembaa!!
 
Uongo na kutokukujali ni matokeo ya hisia zako kwake. Changamoto ya sasa kwa mabinti ni kupenda mambo makubwa ambayo wao binafsi hawawezi kuyamudu na wenza wao pia hawawezi kuyamudu.

Sasa unapo mlazimisha mtu akupatie mahitaji ambayo hayapo kwenye uwezo wake kama kigezo cha wewe kuwa nae na kwamba akishindwa kukupatia basi mahusiano yatavunjia , why sasa huyu mtu asikupige fix!
 
Kaa uwaze angesema ukweli ungetoa? Unapenda mtelezo lazima udanganywe tu.

Mnabanaaa utadhani mmenunua kumbe ukikuta tu kipo,gharama kuosha na maji tiririka( a.k.a maji ya mfereji)
 
Back
Top Bottom