Wanawake wenzangu mnawezaje kumsamehe a cheating husband?

Njaa tu. Huna uweo wa kutunza watoto. Huna la kuwafundisha. Unataka ubaki nao ili uwe unakula hela zangu. Kama watoto watakaa kwako jua ya kwamba utalea, kama watakaa kwangu basi ntalea. Juzi tu kuna rafiki yangu katoka kushinda kesi kama hii now yupo na mwanae na bidada hajaambulia hata senti na uzuri hata mgawanyo wa mali kulikuwa hakuna katoka kama alivyokuja
Mtu wa TRA Yuko mkoa wa pwani wilaya ya kisiwani
Makazi yake kawe ukwamani
Nimepatia?
 
Hyo ni kijamii lakini I live according to my own principles and happiness so I can't sacrifice my happiness because of society's perception
Ok... ishi hivyo, chepuka na walio nje ya jamii ypate furaha... ila ukichepuka na tulio ndani ya jamii hii unayoishi NIKWAMBIE UTAKUJA JUTIA HUKO MBELENI..
 
Sema hivi wewe ni mchawi kwa maana ya kwamba hata kama nikitoa child support bado utanisema vibaya kwa watoto.
Ukitoa hela Sina shida kabisa na Mambo yetu hawatajua, Sasa jifanye kichwa ngumu, utajuta kabisa hutaki kutoa matunzo natafta lawyer kabisa u sign, na nibahifadhi kumbukumbu nije kuwaambia jinsi baba alivogoma kuhudumia na ushahidi huu, usije sema niliwalisha sumu. Tumegombana Mimi na wewe kwanini utese watoto kwa kukataa kuwahudumia wao Wana kosa gani?
 
Not all men cheat. Usikariri dada yangu. Huwezi amini lakini ndiyo ilivyo. Kama mume wako anacheat usijumuishe wote. Sijawahi kumcheat wifi yako ila yeye alinicheat sana kwahiyo ningesema all women cheat ni jambo ambalo siyo kweli.
"MWANAMKE AKICHEAT, MWANAUME HAMRIDHISHI KITANDANI ILA MWANAUME AKICHEAT NI TAMAA ZAKE"
Ulikuwa humrizishi wife mkuu?
 
Nimemjibu huyo nyumbu kwa kuandika utopolo wake hapo Mimi sijawahi anzisha mada hyo yeye badala ya kujibu hoja akatoka nje ya hoja. So nimemjibu alichotaka kusikia
Nyumbu ni Yule anaetumia mgongo wa kushauri Kama anampenda mwanamke mwenzake kumbe ni shetani wa viwango vya juu Kama wewe
 
Yes,binti amejiapiza. Kibaya zaidi wote ni waajiriwa na wapo idara moja.
Ni mtoto wao wa kwanza, tumemchukua kumsimamia malezi
Basi tulia upate cha kusimulia, Kama huyo jamaa hajatafuta kitanzi kilipo
 
Pole sana nyakoo .Hiyo ni misukosuko ya kwenye ndoa,sababu ndoa huwa ni safari isiyokosa misukosuko.kama lisinge tokea hili lingekuwepo lingine ,pengine baya zaidi.Sasa namna ya kuitatua inahitajika kuachia hata baadhi ya haki zako za msingi kwa manufaa yako mwemyewe na familia yako.kitu kingine unatakiwa kuelewa ni kuwa amecheat siyo kwa kupenda,hata yeye trust me anajuta sana kwa alichokifanya .Pia nikuhakikishie kwamba huyo jamaa bado anakupenda sana na anaijali ndoa yake.sababu ingekuwa hakupendi angekujibu kunya kunya na kuendeleea kukwambia usimpande kichwani shika time yako.Sababu wewe mwenyewe unajua,hakuna kinachomtisha kwako.Huyo bado ni muelewa na mume sahihi.kilichotokea ni kama ajali tuu.Cha msingi kwa sasa msaidie ili hiyo dhambi asiirudie tena.Kama ni watu wa ibada endeleeni kumsihi Mungu aendelee kuilinda ndoa yenu.Yamkini naye amekuweka kwenye matazamio usipobadilika ,huenda akaacha kuvumilia ,kiasi hali ikaharika zaidi,shetani atampa mbuni mpya ya kuivurugha ndoa yenu mazima.
kitu usichohitaji kujaribu kufanya ni kutafuta faraja kutoka kwa mwanadamu mwingine kama namna ya kulipa kisasi.

Hivi ninavyoandika uzi huu yule mwanamke aliyecheat naye anajiuliza mbona mchepuko wake amebadilika ghafla,amekuwa kimya sana,hapokei sinu zake tena,anaendelea kumfuatilia kujua kulikoni.So sababu umeamua kutokuwa na ukaribu wa faraja na mumeo basi unamfanya huyo mke mwenzio apate unafuu zaidi.

Kuna wakati wanaume wanakuwa kama watoto wanataka atention kubwa kutoka kwa wake zao.

Lastly,fanya r
@nyakoo soma hapa
 
Utajijua bwana...

Muache uende huko duniani udhani wa huko ndio hawa-cheat ndio utaelewa vizuri...

Achika,wanawake wengine wamchukue na wewe uchukuliwe na hao wanaume ambao "hawacheat" wa kufikirika!

Hivi mwanaume ku-cheat ni ishu siku hizi?

Kwanza ulijuaje ana-cheat kwa kidhibiti kipi,tuanzie hapo maana utatuletea utoto wa nilikagua simu,ulitokana nayo wapi to begin with?
Kwann unamshaur mwenzio iv lakin?
 
Huyo mwanaume kama ameomba msamaha,nae ni kiazi..anatakiwa kukana everything....

Na huyo mwanamke kama anajitia hana mapenzi nae tena,ni well and good,na akijitusu tu nae a-cheat akishikwa ndio ndoa inafia hapo hapo siku hiyo hiyo.

Na kama ukikaa humo ndani ndio unajifanya humpendi tena,viburi,etc,unajipoteza tu maana huo usumbufu wa kukaa kama alien ni wako and he never cares what you actually feel maana nobody is in your heart or brain,she will sit on that shit...

Hivi viwanawake mume aki-cheat vinapaniki kupita maelezo ni visichana vya hovyo vyenye feminism ndani na vyenye theory ya mashindano
Ndio ushaur gan huu,imagine angekuwa mtu wako wa karibu kama huna ushaur s ukae kimya
 
Na wewe chepuka tu hapo kilichobaki nikulea watoto cheating haisameheki kabisa hasa mtu uliye mwamini, Hawa viumbe huua nyege za wake zao. Nakuhurumia maskini kiukweli na wewe chepuka tu ngoma droo wallah
Hufai katika kutoa ushaur ,ipo Sik na wew litakukta jambo hta kama halifanan na hili na wat watalipuuza iv
Toa ushaur wa kujenga
 
I agree with you, Tena ikiwezekana zaa kabisa life is too short to sacrifice for someone who doesn't care, hafu asingizie kupitiwa eti ni Mwanaume, ndio maana kumbe wabibi zamani walizaa nje kuponya makovu.
Usifanye iv n hatar zaid
Puuza ushaur huu
 
Mume wa mleta mada aliteleza akakosea na akakiri kosa lake. Utakuja na hoja kuwa kwani mwanamke hakosei? Jibu ni kuwa anakosea ila unachotaka yeye afanye ni kutumia kosa la mumewe kama sababu ya yeye kumkosea mumewe jambo ambalo sio sahihi kabisa hata shetani atalishuhudia siku ya hukumu. Ukisamehe samehe kamwe usitumie kosa kama fimbo ya kumwadhibia mwenzio kama umeamua kumsamehe.
Kumove on is the best thing ever kushindana kwa kuonesha nawewe pia unaweza sio jambo la busara mtawaumiza watoto bure.
Vitu vingine lazima tu ulipize ili na yeye a feel pain zaidi kuacha hivi hapana kwa kweli hawezi jifunza, some people need to learn in hard way kwa kweli
 
Back
Top Bottom