Baba Swalehe
JF-Expert Member
- Jun 6, 2017
- 19,526
- 37,942
Kabisaaa bonge la nyuziiiiiiHuu uzi mods wauweke pin uwekwe juu hapo
We dadaa....Wale wanaume wanakuzingia miaka mitatu, siku ukiamua leo nikampe mtarimbo unakataa kata kata kuinuka.
Hawa nawapa poems za Mama Teresa na Bible.
Wapewa umiliki wa mashamba ya maua huko arushaWale madem wasio jadili viwanja vya kupigia mechi
Popote we twendeee kazii
Nawaombea kazi BOT.
Sent from my SM-A125F using JamiiForums mobile app
Na Mtaji wa Forex kabisaaWapewa umiliki wa mashamba ya maua huko arusha
Wale wanaume waliokuwa wanahonga hela zimejaa kwenye bahasha ya kaki wakirudi mi nitawabeba mgongoni.
Sijui kama hao wanaume wa vile wapo tena.Hqhahhahaaa
Tulikuwa tunaziita brown papers!!!!!
Penda sana elaa weweeee...!!!Wale wanaume waliokuwa wanahonga hela zimejaa kwenye bahasha ya kaki wakirudi mi nitawabeba mgongoni.
Uliza asiyependa hela labda ni shangazi zako tu.Penda sana elaa weweeee...!!!
Yaani mm hata nimejuta kwnn niliechelewa kuuona huu uziHii thread nimecheka asubuhi hii kama nini. Jana stress za kazi na mengineyo ila nimeamkia kucheka, full bashasha na siku iendelee.
Well, mahitaji si dhambi
Kweli pesa taam hata mimi napenda kama unavyo ipendaaUliza asiyependa hela labda ni shangazi zako tu.