snowhite
JF-Expert Member
- Aug 2, 2012
- 17,708
- 23,637
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Nasema hivi maini hayazeeki bali yanaongezeka utamu 😜😜😜
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Nasema hivi maini hayazeeki bali yanaongezeka utamu 😜😜😜
hahahah nitarudi kuweka msimamo wangu acha niendelee kusoma commentWewe ndio umemuingiza sio mimi...
Nilikua very conscious wakati naandika soma vizuri usikurupuke kama wazee wa PGO!
After all nakufutia dhambi ya kuniita mshenzi kwa hati ya dharura
Fanta orangeSisi ambao tunasema ""iila weeeewe na ufanye haraka ntaunguza"
tunapewa nini?
KabsaAmiiina na pia hapa dunian wapewe ofa ya kutoa hela bila makato
Unachekesha..Haki huu uzi
Sisi ambao tunapuliza masikio ukiwa unafika kileleni tupewe upande upi wa Ikulu?
Nyie inabidi mukae siti za mbele kabsa hapo mjengoniSisi ambao tunapuliza masikio ukiwa unafika kileleni tupewe upande upi wa Ikulu?
Yaani nimecheka jamani mweehUnachekesha..