Extrovert
JF-Expert Member
- Feb 29, 2016
- 67,004
- 173,644
Sitaki nataka wana tabu sana! Napenda nimwambie demu ukweli na anielewe haraka.Kumbe kuna kukataliwa ili uje mara nyingine..?🤣🤣🤣 Kwahiyo kwa kifupi unapenda usumbufu yaani ile njoo kesho njoo kesho na wakati kumbe unataka