Maya Angelou
JF-Expert Member
- Oct 19, 2019
- 1,081
- 2,487
Hizo changamoto ndio zitanifanya nimwambie mama watoto aangalie watoto mie wacha nikateseke mwenyewe tu
ya
acha uwivu hawaondoki nayo,utamu wako upo palepale ♀️
Hizo changamoto ndio zitanifanya nimwambie mama watoto aangalie watoto mie wacha nikateseke mwenyewe tu
ya
Hahahah kwahio iliwe tu?acha uwivu hawaondoki nayo,utamu wako upo palepale ♀
Muda huo boda boda anakuja home kumsaidia kuangalia watoto, hahahah huu mchezo hauhitaji hasira na hauna formula lolHizo changamoto ndio zitanifanya nimwambie mama watoto aangalie watoto mie wacha nikateseke mwenyewe tu
ya
Atauza duka tu kitaani kama mama wa kichaga.🤣🤣🤣Muda huo boda boda anakuja home kumsaidia kuangalia watoto, hahahah huu mchezo hauhitaji hasira na hauna formula lol
Hapo ndo pabaya kabisa, wateja vijana mda wte pemben kuvizia vibom uwiiiiiiih. Kuchapiwa n siri ya ndan mkuu. Hebu relaaaax hainaga shombo ile ujue, kwann ujitese hivooh.Atauza duka tu kitaani kama mama wa kichaga.
Wivu babaa!!!Hapo ndo pabaya kabisa, wateja vijana mda wte pemben kuvizia vibom uwiiiiiiih. Kuchapiwa n siri ya ndan mkuu. Hebu relaaaax hainaga shombo ile ujue, kwann ujitese hivooh.
Haaaah wee kula vya wenzio unapenda, ila vyako hutak viliwe? Kikwete alisema "ukitaka kula sharti na wee uliwe" hujui hilo?Kwahio unanicheka mkuu japo baharia ila mke wangu ni kiumbe muhimu kwa afya yangu
Dah, hata sili vya watu mie...nakula stolowei tu ila sio mali ya mtu 🤣🤣🤣 yani kama we ukinibarikia roho safi tu! Tunamenya!!! ila naheshimu kiapo kile,Haaaah wee kula vya wenzio unapenda, ila vyako hutak viliwe? Kikwete alisema "ukitaka kula sharti na wee uliwe" hujui hilo?
Afu sio vizuri kusaliti ndoa yako, siku ikija julikana ndo utajua km kachumbali n mboga au kiungo cha wali,Dah, hata sili vya watu mie...nakula stolowei tu ila sio mali ya mtu
Hahaha sijaoa bado japo kusaliti uchumba tu siwezi 😂😂😂,,,hahah sa itajulikanaje labda kama we utataka ijulikane.Afu sio vizuri kusaliti ndoa yako, siku ikija julikana ndo utajua km kachumbali n mboga au kiungo cha wali,
Ooooh hapo sasa umenena jambo, kua mwaminifu kwa mwenzi wako, ili apate ile thaman yako uliowanyima wengine, na uka mtunuku yeye.Hahaha sijaoa bado japo kusaliti uchumba tu siwezi ,,,hahah sa itajulikanaje labda kama we utataka ijulikane.
Uhakika sana mkuuOoooh hapo sasa umenena jambo, kua mwaminifu kwa mwenzi wako, ili apate ile thaman yako uliowanyima wengine, na uka mtunuku yeye.
Mahusiano bora ni chachu ya ndoa njema. Enjoy n relaaaax mema ya uumbaji wa mola.
Ouk nice evenieeeeh, stay safeUhakika sana mkuu
Wish u a wonderful evening tooOuk nice evenieeeeh, stay safe
Tanxieeeeeh moah.Wish u a wonderful evening too
Heeeh kipi hicho lolNatamani ila naogopa
Njoo boardroom nikuelekeze😎Heeeh kipi hicho lol
Mmmmmh haya bhana,Njoo boardroom nikuelekeze
Longing for you fantastic 😍Mmmmmh haya bhana,