Alipokujibu hivyo ulikuwa ukimtongoza au ni mpenzi wako. Kama ni mpenzi wako umemvuruga, umelikoroga ndiyo akawa hivyo. Nahisi kuna kitu umekifanya, hujakiweka wazi.....Hub you know what...., I just want to be alone for some moments, Give me a space kwanxa nitulie ntakutafuta mwenyewe..."
Eti huku kama sio kuonana zoba in mini jamani, Hivi KUNA haja ya kuendelea kustick na MTU alokutamkia hivo?
Povu ruksaaaa....
Karibu
Hata kusoma alama za nyakatUnaachwa hvyooo...jiongeze
CcmPovu ruksa ndo barabara ya wapi?
Ndo hapo sasa..alafu hukujibu post yangu janHata kusoma alama za nyakat
znamshinda
Uko salama lkn
Exactly, ogopa kitu kuonekana Needy kwa mwanamke, ninaepuka hilodah wanawake wanaongeaga kiutani sana huwa kama wana test,lakini ndio wanakuwa wamemanisha au kutomanisha! ww ukiwa legevu na ukisema its ok basi inakuwa hivyo ila ukiwa una msimamo unaweza badili hali yote aliyokuwa ameipanga kichwani.kiufupi wanawake karibu 95% huwa hawana msimmo binafsi nadhani hii ni nature yao-so ukitumia udhaifu huu unaweza kuweka mambo sawa.
Me nlivunga sasa now haishAlaf
Alafu ikawaje mkuu?