Wanawake wengi wazuri wenye mvuto wanauza Bar! Kwanini hawaolewi na kuwekwa ndani??

Sigara Kali

JF-Expert Member
May 28, 2017
3,623
8,428
Salaam wakuu
Mada tajwa yahusika
Tangu Jana nipo Bar nimezunguka Bar nyingi Sana hapa mjini Mwanza yani nahama bar hii naingia hii hasa zile High class kama Villa,DV8, Gold crest,na nyingine nyingi
Sasa nlichokigundua Bar nyingi hapa nlipo na Tanzania mzima zina wanawake wazuri wanaotoa huduma Kwa wateja but najiuliza Kwa uzuri wao Kwa nini wasiolewe wakawekwa ndani badala yake wanaishia kwenye maisha ya kuchezewa makalio,kutukanwa na kudharauliwa?
Cha ajabu wale wanawake tunaowaona wabaya ndo tunawaoa na kuwaweka ndani na kufanya nao maisha
Ukiangalia matajiri wengi,wanasiasa ,wasomi,Wafanyabiashara wakubwa wameoa wanawake ambao kimtazamo ni wa kawaida Sana
Je hawa wanawake wa bar ambao wanasifa zote nzuri za kimaumbile ambazo wanaume tunazitaka Kwa nini hawaolewi??
 
Ngoja nisindikize post kwa picha
be06a16883dea2e77255d3a83aec8090.jpg
 
Mkuu naomba kuukiza, kuolewa ni job opportunity? Coz wanaouza bar is not necessarily kwamba hawajaolewa ingawa kuna ambao hawajaolewa! Kingine nikuambie mademu wazuri wanauza bar anaweza kupata elfu 50 hadi laki moj kwa siku nje ya mshahara wake kutoka kwa walevi.. Sasa jiukize ni ajira ngap za tanzania zinalipa hyo laki kwa siku?
 
Salaam wakuu
Mada tajwa yahusika
Tangu Jana nipo Bar nimezunguka Bar nyingi Sana hapa mjini Mwanza yani nahama bar hii naingia hii hasa zile High class kama Villa,DV8, Gold crest,na nyingine nyingi
Sasa nlichokigundua Bar nyingi hapa nlipo na Tanzania mzima zina wanawake wazuri wanaotoa huduma Kwa wateja but najiuliza Kwa uzuri wao Kwa nini wasiolewe wakawekwa ndani badala yake wanaishia kwenye maisha ya kuchezewa makalio,kutukanwa na kudharauliwa?
Cha ajabu wale wanawake tunaowaona wabaya ndo tunawaoa na kuwaweka ndani na kufanya nao maisha
Ukiangalia matajiri wengi,wanasiasa ,wasomi,Wafanyabiashara wakubwa wameoa wanawake ambao kimtazamo ni wa kawaida Sana
Je hawa wanawake wa bar ambao wanasifa zote nzuri za kimaumbile ambazo wanaume tunazitaka Kwa nini hawaolewi??
Unataka uoe ili utumie peke yako?
Una roho mbaya wewe.
 
Mkuu naomba kuukiza, kuolewa ni job opportunity? Coz wanaouza bar is not necessarily kwamba hawajaolewa ingawa kuna ambao hawajaolewa! Kingine nikuambie mademu wazuri wanauza bar anaweza kupata elfu 50 hadi laki moj kwa siku nje ya mshahara wake kutoka kwa walevi.. Sasa jiukize ni ajira ngap za tanzania zinalipa hyo laki kwa siku?

Ndio mkuu, kuolewa ni job opportunity kama ulikuwa hujui.
Halafu sijajua ni mtu wa type gani anayefunga ndoa na bar maid na kumruhusu aendelee na hiyo kazi. Labda wewe unamjua.. ni wa type gani?
 
Watu wanaogopa kumiliki shamba la miwa alafu azungukwe na shule.pia uzuri w mwanake sio .....ni tabia. Jiulize Kwanii wapo huko?
 

Similar Discussions

7 Reactions
Reply
Back
Top Bottom