Wanawake wengi (wazuri wachache wapo) tuna roho mbaya mno

Wako wengi sana inaelekea bado mdogo sana wewe
Pengine yes mimi ni mdogo sikukatalii..ila naomba kujua umenilinganisha na nani kwanza.

Kichwa cha uzi pale juu kinaeleza kila kitu.ni Kwanini hutaki kukubali kuwa kuna wanawake wabaya na wazuri?

Hebu tuwe wakweli wakati mwingine si kila kitu ni kupinga tu.
 
Cariha, wanawake wana roho mbaya sana, bahati mbaya wengi hawajijui walivyo, Vifo vingi vya wanaume huchangiwa pakubwa na wake zao.
Sidhani mkuu, Mimi hupuuza najua ni mvurugo tu wa hormones hzo, ndio majority walivo as long as I don't expect from anyone nawapuuza tu
 
Ukiona mtu anashindwa kutoa msaada ambao haugharimu chochote , hatumii gharama yeyote , ni rasilimali muda tu usiozidi dakika 3 ,huyo automatically anaroho mbaya,

Kiukwel hata kwenye usafiri Wa umma hua tunaona wanawake msivyo thaminiana
Huwezi wa force mkuu, Mimi nilishawapuuzia kabisa Yani loh
 
Pengine yes mimi ni mdogo sikukatalii..ila naomba kujua umenilinganisha na nani kwanza.

Kichwa cha uzi pale juu kinaeleza kila kitu.ni Kwanini hutaki kukubali kuwa kuna wanawake wabaya na wazuri?

Hebu tuwe wakweli wakati mwingine si kila kitu ni kupinga tu.

Mimi sikupingi naelezea niliyoyaona inawezekana jamii iliyokuzunguka ndio watu wengi wana roho mbaya ila ujue tu ukiona jamii mwanamke ana roho mbaya basi jua wanaume wao ni hivyo hivyo. Roho mbaya haina jinsia.

Ukiishi muda mrefu kuna mambo mengi unakutana nayo na kujifunza yanaweza kukufanya ushangae.
 
Mimi sikupingi naelezea niliyoyaona inawezekana jamii iliyokuzunguka ndio watu wengi wana roho mbaya ila ujue tu ukiona jamii mwanamke ana roho mbaya basi jua wanaume wao ni hivyo hivyo. Roho mbaya haina jinsia.

Ukiishi muda mrefu kuna mambo mengi unakutana nayo na kujifunza yanaweza kukufanya ushangae.
🥂
 
harakati nyingi zinaangalia faida ndani yake,
hao kina open kitchen sijui,kina Joyce kiria sijui mwanamke sahihi zote zinaangalia manufaa ndani yake
Na unakuta yeye ndo anafaidika zaidi pengine hata anapewa fund kufanya harakati zile
 
Ukiwaona marafiki wakike wanaishi kama kama wanalove lakini wengi wanafki
Tofauti na wanaume unaweza ukaskia wanatukanana lakini wanasaidiana balaa
Wanawake ni wadhaifu sana (now & always)
 
Tazama hata nyakati za mvua.... Mwanaume akiwa pekee yake kwenye usafiri wake atasimamisha gari na kumpatia mwanamke lift labda awe na mkewe ndio atafeli.

Ila tatizo lipo kwa mwanamke anapokuwa na usafiri wake ni ngumu sana kumpa mwanaume lift hata iwaje..... Labda awe mfanyakazi mwenzake.

Na mwisho wa siku hata akiwa na mume wake utaona anakuwa mtata kwa mumewe ikitokea ametoa wazo la kumpa lift mwanamke mwenzake.

Wanawake huwa wanajiwazia wao kwanza kabla ya yote na watoto wa kuwazaa wao (si kwamba wanahuruma na watoto wote la hasha). Wengi wa wanawake ukiwauliza kama wapo radhi kulea damu isiyo yake utaona wengi hawapo tayari.


Ila mwanaume atahudumia na kulea mtoto ambaye si wake na kuacha roho kavu ipite zake.......


Wanawake especially hawa wa sasa, wanaubinafsi sana... Hilo hata mimi nimelithibitisha.

Nilishawahi kuwa na msichana ni single mother, nikawa namsaidia mahitaji, akaanza kunipanda kichwani kiasi kwamba nikajiuliza huyu hapa hata sijawazia kuanza ishi nae anaanza kuniletea dharau..... Nikatemana nae mazima, alibembeleza hadi akachoka sikuwa na habari nae tena...
 
Basi kwa maelezo hayo na malizia kwa kusema

Mwanaume kaumbwa na roho mzuri kuliko mwanamke..

Mimi hata hizi harakati zenu za kumuinua mwanamke kama wanawake wangekuwa na roho ya utu km wanaume nyinyi mngekuwa mmefika mbali sanaaaaaaaaaaaaaa cha ajabu hata kwenye hizi harakati ni sisi wanaume tunashiriki kuwa push wanawake kwenye biashara either mambo ya mitaji au connection nzuri za biashara

huu ni ukweli mchungu sana
Na bado ukimsaidia anakuja kukuletea u*eng* huko mbeleni.....
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom