Wanawake wengi wanapenda kuolewa, wanaume wengi wanaogopa kuoa.

Duh! Hiyo ya kumuamkia mume shikamoo kama unamuamkia baba ngumu, lol! Eti shikamoo ...

Ndio hayo basi! Hamjui namna ya kumlainisha mzee na kwa bahati mbaya hawa ndio wateja wakubwa wa Ndowa!
 
Ndio hayo basi! Hamjui namna ya kumlainisha mzee na kwa bahati mbaya hawa ndio wateja wakubwa wa Ndowa!
Dah, mimi pia sipendi mpenzi wangu aniambie shikamoo maana itamfanya aniogope kwa kuniona kama baba yake.
 
Huku Uswahilini kwetu wanawake wengi wanatamani sana kuolewa, lakini cha kusikitisha vijana wengi wa kiume wanaogopa kuoa. Hivi nini huenda ikawa inasababisha hali hii?

Wanaume wengi hawapendi kuoa kutokana na sababu hizi:


  1. wanapenda sana ngono, so wanaogopa wakioa hawatakuwa huru kama mwanzo.
  2. hawana ufahamu mkubwa wa kwenda na wakati, wao wanadhani bado ni wadogo vile vile so wanahitaji kula maisha zaidi.
  3. wabinafsi - wanapenda kujifikiria wao tu, wanaogopa familia.
  4. hawapendi majukumu
  5. wanapenda kupata wanawake wenye tabia nzuri na anaona bado hajatokea.( hata kama yeye tabia zake hazipendezi)
  6. Hawapati msukumo kutoka kwenye jamii (binti anaweza kusengenywa kwa kutokuolewa lakini mwanaume haonekani kama amechelewa)
  7. wanapenda kuwa na nyumba kabla ya ndoa
  8. wanapenda kufurahia maisha ya ujana kwa muda mrefu zaidi.
 
We mbona umjichanganya mwenyewe sasa! Yaani ni kama umetoa hela kutoka kwa pochi, umeiweka kifuani kwenye sidiria halafu unaitafuta eti imeenda wapi hela yako!

We au mimi nani aliyejichanganya hapo.
 
Wanaume wengi hawapendi kuoa kutokana na sababu hizi:


  1. wanapenda sana ngono, so wanaogopa wakioa hawatakuwa huru kama mwanzo.
  2. hawana ufahamu mkubwa wa kwenda na wakati, wao wanadhani bado ni wadogo vile vile so wanahitaji kula maisha zaidi.
  3. wabinafsi - wanapenda kujifikiria wao tu, wanaogopa familia.
  4. hawapendi majukumu
  5. wanapenda kupata wanawake wenye tabia nzuri na anaona bado hajatokea.( hata kama yeye tabia zake hazipendezi)
  6. Hawapati msukumo kutoka kwenye jamii (binti anaweza kusengenywa kwa kutokuolewa lakini mwanaume haonekani kama amechelewa)
  7. wanapenda kuwa na nyumba kabla ya ndoa
  8. wanapenda kufurahia maisha ya ujana kwa muda mrefu zaidi.

Exellent...
 
Hahahah Yummy umepatia kweli. . .
Dada anataka kuolewa ili maisha yawe rahisi. . .kaka anaogopa maana maisha yatakuwa magumu. Kazi ipo aisee.

Maamuzi yao wote wawili yanaathiriwa na hali ya maisha.

ni kweli dada Lizzy bTW ulikuwa umepotelea wapi?
 
Last edited by a moderator:
Kuolewa ni baraka toka kwa Mwenyezi Mungu, thats why na mimi napenda siku moja niolewe!!!!
 
siku hizi wanawake ni majangili na wanaume ni wachuna ngozi, hapo unadhani ndoa itatoka wapi?
 
Msichana yoyote akifikisha 24 na kuendelea ukiwa nae kwenye relationship ndio utajuwa, wote wote utasikia wanazungumzia kuolewa tu, fatilieni mtagundua tu.
 
Visabababishi vya vijana kutopenda kuoa vipo vya aina nyingi na vinatofautiana kati ya kijana mmoja na mwingine. ni vyema ukatafuta kijana mabaye anaogopa kuoa na umuulize sababu ambayo inamfanya aogope kuoa pengine anawexa kukupa majibu mazuri zaidi kuliko majibu ambayo nitakupa mimi.
 
wanaogopa kuoa,ni wazembe hawapendi majukumu......lol

kuolewa,ni kama heshima fulani hivi,:thinking:
 
wanaogopa kuoa,ni wazembe hawapendi majukumu......lol

kuolewa,ni kama heshima fulani hivi,:thinking:

dada wala asikudanganye mtu kuwa kuolewa ni heshima, heshima itakuwepo iwapo utaheshmu ndoa yako. fikiria umeolewa lakin kutwa kucha unashinda baa na club,unatoka na waume za wenzio ama vijana yan full kicheche na umeolewa je hapo kuna heshima? mavazi pia yanachangia usiheshimike thou utakuwa mke wa mtu. we umeolewa afu unavaa nusu uchi unadhan utaheshimika kisa umeolewa
https://www.jamiiforums.com/jf-social-forums-lounge/
 
Huku Uswahilini kwetu wanawake wengi wanatamani sana kuolewa, lakini cha kusikitisha vijana wengi wa kiume wanaogopa kuoa. Hivi nini huenda ikawa inasababisha hali hii?

Wanaume tumeumbwa, matesoo mateso kuhangaika!
 
Back
Top Bottom