Wanawake wengi wamejawa na tamaa, ukikutana nao unaweza kuwadhani wametoka familia za kitajiri kumbe ni wakuungaunga tu

Bonde la Baraka

JF-Expert Member
Sep 22, 2016
4,580
7,938
Wanawake nawasalimu bila kuwasahau Wanaume wenzangu!

Vibinti vingi mjini na baadhi ya wamama ukikutana nao aidha sokoni, kwenye sherehe, chuo au mahali pengine unaweza ukahisi ni matawi ya juu. Anamiliki simu ambayo wewe Mwanaume wa kawaida hujawahi kumiliki. Anajitutumua kula chakula cha hali ya juu zaidi ya uwezo wake n.k.

Mdada mmoja ambaye najua analipwa laki kama 4 hivi nilimshangaa kumwona anamiliki simu ya laki 4.5. Kwakuwa namjua kuwa si kahaba nikamuuliza umepata wapi fedha ya kununulia hii simu akaniambia kuwa alikuwa anatunza fedha kidogokidogo kwa miezi kama 3 ndo akainunua.

Nilimwonea huruma sana. Utunze fedha kwa miezi ili ununue simu ambayo hauitumii kibiashara!!!
Mwingine alipolipwa fedha za upatu(mchezo) kaenda kununua simu karibu fedha yote. Hii ni tamaa.

Samahani kwa dongo hili. Najua mtasema kila mmoja na kipaumbele chake ila lazima tuishi sawasawa na kipato chetu. Unacheza mchezo ili ununue simu!!!!

Mkizoeana kidogo tu anaanza kukuletea shida zake, nani aliowaambia kuwa sisi Wanaume hatuna shida zetu? Tunazo ila tunavumilia na kutazama vipaumbele vyenye tija kwanza.
 
Ndo hivyo mkuu ila ukweli upo hivyo hizi siku wanawake wapo vizuri kuliko wanaume, unaweza kukutana na wanawake 10 wote wakidrive haijuulikani huo usagiri ni wa kwao, wamekodi ama wamehongwa lakini ndo hivyo mwenzio anadrive wakati wewe ukipigwa na jua mwanzo mwisho...iko hivi ku fake maisha ni sehemu ya maisha, sababu binaadam wote tunatamani maisha mazuri..
 
Kweli ndugu.
Ndo hivyo mkuu ila ukweli upo hivyo hizi siku wanawake wapo vizuri kuliko wanaume, unaweza kukutana na wanawake 10 wote wakidrive haijuulikani huo usagiri ni wa kwao, wamekodi ama wamehongwa lakini ndo hivyo mwenzio anadrive wakati wewe ukipigwa na jua mwanzo mwisho...iko hivi ku fake maisha ni sehemu ya maisha, sababu binaadam wote tunatamani maisha mazuri..
 
Juzi nimekutana na katoto kazuuuri,status yake insta matata sana. Nikachukua namba fasta,woga ukanijaa halafu naogopa sana kukataliwa. Baada ya dakika 2 tu nikaombwa hela. Nikamchana nimeuwawa. Kakaniambia hata buku 5 nipe tu. Vitoto vina maisha magumu sana japo wanapendeza balaa. Bila shaka wanauza vitumbua vyao
 
Mjini hapa alikuja jamaa yangu kutoka Dodoma akakutana na binti pale elements akajua amefika next day akampeleka dinner na mambo kibao. Vile demu kajitambulisha mtoto wa Balozi jamaa limbukeni akachana wallet na end day akampa USD 200 za tax sasa analalamika asubuh dem simu haipatkan.
 
Geeezz
Juzi nimekutana na katoto kazuuuri,status yake insta matata sana. Nikachukua namba fasta,woga ukanijaa halafu naogopa sana kukataliwa. Baada ya dakika 2 tu nikaombwa hela. Nikamchana nimeuwawa. Kakaniambia hata buku 5 nipe tu. Vitoto vina maisha magumu sana japo wanapendeza balaa. Bila shaka wanauza vitumbua vyao

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ndo hivyo mkuu ila ukweli upo hivyo hizi siku wanawake wapo vizuri kuliko wanaume, unaweza kukutana na wanawake 10 wote wakidrive haijuulikani huo usagiri ni wa kwao, wamekodi ama wamehongwa lakini ndo hivyo mwenzio anadrive wakati wewe ukipigwa na jua mwanzo mwisho...iko hivi ku fake maisha ni sehemu ya maisha, sababu binaadam wote tunatamani maisha mazuri..
Fake it,till you make it.
 
Mjini hapa alikuja jamaa yangu kutoka Dodoma akakutana na binti pale elements akajua amefika next day akampeleka dinner na mambo kibao. Vile demu kajitambulisha mtoto wa Balozi jamaa limbukeni akachana wallet na end day akampa USD 200 za tax sasa analalamika asubuh dem simu haipatkan.
Hahahaha
 
Juzi nimekutana na katoto kazuuuri,status yake insta matata sana. Nikachukua namba fasta,woga ukanijaa halafu naogopa sana kukataliwa. Baada ya dakika 2 tu nikaombwa hela. Nikamchana nimeuwawa. Kakaniambia hata buku 5 nipe tu. Vitoto vina maisha magumu sana japo wanapendeza balaa. Bila shaka wanauza vitumbua vyao
Watu wana pretend kuwa wanaish maisha safi kumbe wapi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Huu uzi utakuwa na maneno makali sana,na kshfa na matusi na mapovu yote,saiv wamelala ngoja waamke dadeki..umesema ukweli,lakini ukweli usio na faida yeyote,maana mwisho wa siku maisha hayana kanuni,kila mtu naishi vile inavyompendeza,kikubwa asivunje sheria
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom