Frank Wanjiru
JF-Expert Member
- Apr 12, 2012
- 21,831
- 38,720
Labda hao Madume suruali.Ujanja wako mwanaume ni kipindi cha courtship tu maana mwanamke ndio anaomba kazi ila ukiisha mwingiza ndani yeye ndiye boss na wewe mwanaume ndiye kibarua. Ndio maana ukitaka kumuacha sheria zinamlinda ila wewe mwanaume zilikulinda kipindi hujamuingiza ndani. Hivyo basi furaha ya mwanaume huwa ya kipindi kifupi sana na mwanamke ya muda mrefu.