Wanawake wengi wakiingia kwenye ndoa wanabadilika kitabia

Ujanja wako mwanaume ni kipindi cha courtship tu maana mwanamke ndio anaomba kazi ila ukiisha mwingiza ndani yeye ndiye boss na wewe mwanaume ndiye kibarua. Ndio maana ukitaka kumuacha sheria zinamlinda ila wewe mwanaume zilikulinda kipindi hujamuingiza ndani. Hivyo basi furaha ya mwanaume huwa ya kipindi kifupi sana na mwanamke ya muda mrefu.
Labda hao Madume suruali.
 

Wanawake ni pasua kichwa aisee, Yan hata uwe na pesa haimfanyi kuwa mnyonge hata kidogo.....

Kuna jamaa yangu anapesa nzuri tu, kamnunulia na mke wake gari lakin, mke ndo haelewi wala hasikii, anaweza kununua wiki mbili ndani haongei kitu...

Inafikia hatua jamaa akija mkoani anatafuta kimchepuko anajituliza kidogo maana ndani hakukaliki..
Ndio nilikuwa nawaambia hao madogo hapo juu,fedha sio factor ya kuleta heshima na ustawi wa ndoa bali akili na msimamo wa Mwanaume.
 
Wewe dada hujawai kukutana na watu wenye misimamo wewe!!, tupo na sitegemei kuja kusumbuliwa na mwanamke abadani...
Swadakta kabisa,huyo anakutana na hivi visharobaro vya wakati huu ambavyo vinajipaka poda na kuchuna nyusi na vikigombana na mpenzi wake vinalia na kususa.
 
Wala haina haja ya kunionyesha misimamo yako humu mtandaoni sababu Ni ngumu Sana kuweza kuprove misimamo yako, nadhani utakuwa umenielewa
Sasa ukisema hivyo utakuwa umedhamiria,na pia sio kesi. Kwanini uishi na Mwanamke ambae unajua kabisa hakufai na yupo kinyume na matakwa yako?
 
Hao bado Vijana ndio hao wakishawaoa mnaanza kuwapelekesha mpaka kuwafulia,kuwanyima papuchi mwezi mzima mwishoe wanajiua.
We kijana mwanaume kama hutimizi majukumu yako usilazimishe kuheshimiwa mjomba namna gani vipi! Na hayo majukumu hauwezi kuyatimiza bila pesa!

We ukitaka chepuka fanya lolote unaloweza kwanza wanawake wenyewe siku hizi nao hawajali washavurugwa! Ila ukae ukijua tu kuwa wanawake hawatumii nguvu bali akili!

Kujitutumua huku mitandaoni haikusaidii! Tafuta pesa!
 
.
20210410_235517.jpg


Sent from my SM-A315F using JamiiForums mobile app
 
Sasa inakuwaje tena mwanaume kuchepuka ionekane sawa? Na wengine wanakwendaga mbali zaidi na kutolea hadi mifano ya watu ambao ni binadamu kama sisi?
Wanawake mnachepuka sana tena inaexa kuwazidi wanaume sema mnajua kuplay th victim part na jamii inawabeba hivyo.. unaongea as if hulijui hili sisi tunasema coz tupo honest mwanamke mmoja hatoshi ila nyie mnafanya kimya kimyaa
 
We kijana mwanaume kama hutimizi majukumu yako usilazimishe kuheshimiwa mjomba namna gani vipi! Na hayo majukumu hauwezi kuyatimiza bila pesa!

We ukitaka chepuka fanya lolote unaloweza kwanza wanawake wenyewe siku hizi nao hawajali washavurugwa! Ila ukae ukijua tu kuwa wanawake hawatumii nguvu bali akili!

Kujitutumua huku mitandaoni haikusaidii! Tafuta pesa!
Kwanini uoe kama huna pesa ya kustawisha familia?
 
Wanawake mnachepuka sana tena inaexa kuwazidi wanaume sema mnajua kuplay th victim part na jamii inawabeba hivyo.. unaongea as if hulijui hili sisi tunasema coz tupo honest mwanamke mmoja hatoshi ila nyie mnafanya kimya kimyaa
Anko kuchepuka ni dhambi na kosa kwa jinsia zote haijalishi unafanya wazi au kimya kimya! Hayo masuala ya mwanamke mmoja kutokutosha mnayajua ninyi aliyewaumba hayajui!
 
Wanaume wengi pia hatujui namna ya kuwa viongozi kwenye ndoa zao. Utii kutoka kwa mwanamke hauji tu ati kwa kuwa umemuoa.

Kuna namna unapaswa kuishi kama mwanaume unayejielewa, kiongozi, baba na mlinzi wa familia. Mkeo mwenyewe ana-salute kwako anajua kweli yuko na mme jembe lazima akuheshimu tu.

Lakini mwanamke akikubishia jambo dogo tu, tayari unaamua ukitoka kazini unapitia bar unarudi akishalala ati unaogopa kelele za mkeo.
Hapo mkeo lazima akushangae na akuone una mapungufu hasa ya kiuongozi.
Mwanamke anaweza kukuhoji kuhusu jambo lolote lile maana naye ni mwanadamu na ni partner wako kwenye maisha.
Sasa wewe badala ya kuonesha uanaume wako wa kutoa hoja zenye majibu na kuweka msimamo na uonvozi juu ya hoja hiyo unaishia kukimbilia bar.

Ni shida kubwa wanaume tunayo.
Hatujielewi haswa na tumekuwa waoga mno wa maisha na debate za kwenye ndoa. Mwanamke mpaka anashindwa kuelewa aishije na wewe maana huonekani kujua lolote na wala humuongozi kujua na kuufuata uelekeo wenu.

Sasa mwanaume anachelews kurudi nyumbani ati kisa hapendi mkewe anavyokagua simu yake. Wakati ukichukulia positively ni kwamba inawezekana anakupenda huyo na anaogopa kuibiwa baaaas.
Kwahiyo kama una mambo yako jua jinsi ya kuyaficha kwenye simu asiyaone au yafute. Akikagua anakukuta swafi baadae anazoea tu.

Tushaambiwa tuishi nao kwa akili. Akili asipoziona kwako anakudharau.

Asantee umemaliza yote
 
Vijana wa siku hizi ndio maana Wanawake wanawapanda kichwani,ukishaingia kwenye ndoa fedha haina nafasi ya kuamua hatima ya ustawi wa ndoa yenu bali ni upendo,nidhamu,kuheshimiana,utii na Mwanamke kuwa chini ya Mwanaume kimamlaka na maamuzi.
Hii point nimeielewa 🙌🙌
 
Sasa ukisema hivyo utakuwa umedhamiria,na pia sio kesi. Kwanini uishi na Mwanamke ambae unajua kabisa hakufai na yupo kinyume na matakwa yako?
Ooh Frank umeniquote sehemu nyingi, ila wewe ndio mwenye msimamo wa kiume Sasa, kwa comment yako ya Kwanza kabisa sikuelewa akili yako ila kwa hizi comments nyingine Basi nimekupata vyema,

Ukishindwana na mke unaacha na haurudi nyuma mpo wachache wenye hii misimamo,
 
Back
Top Bottom