Wanawake wengi ukiwatongoza tu anakwambia simu yake imeingia maji

adden

JF-Expert Member
Dec 27, 2015
7,035
15,540
Wanahabari wenzangu,

Sidhani kama hapa JF kuna mtu hajakutana na hii ya simu yangu imeingia maji au imeibiwa na sasa hivi natumia ya mama.

Hata nyie wasichana kama mnasoma hapa mjue hii mbinu yenu sasa imekuwa popular au compromised.

Kwani ukisema tu huna simu unaomba ununuliwe kuna ubaya gani, kwanini mnapenda kuongopea au mshaona wanaume mafarasi kiasi hicho? Kila mwanamke au msichana hii ndio kete ya kwanza kurusha hata tumezoea mwisho wa siku unajua tu muda si mrefu utaambiwa simu imenyeshewa mvua.

Mmeishiwa mbinu za kuchuna au kitu gani? Mnapenda namba halafu hamjui mahesabu kama chama kubwa.
 
Kuna mmoja bwege kweli, alinambia simu yake imeingia maji, nikamwambia nakuja kuichukua kesho niipeleke kwa fundi,
kesho yake nafika kuniona tu anajidai kushtuka huku mkono mmoja ameziba mdomo, sasa nikamuuliza mbona umeshtuka baada ya kuniona, akasema yani sikutarajia kama utakuja muda huu, hapa nimechanganyikiwa sijui kama utanielewa cuz simu yangu tangu asubuhi naitafuta siioni so nahisi imeibiwa....
Mnyamwezi nikampa pole alafu nikajikataa
 
kila mwanamke au msichana hii ndio kete ya kwanza kurusha hata tumezoea mwisho wa siku unajua tu muda si mrefu utaambiwa simu imenyeshewa mvua!!

sema kila mwanamke au msichana unaekutana nae wewe, mbona umejumlisha, umeshatongoza wanawake wote?
 
Kuna mmoja bwege kweli, alinambia simu yake imeingia maji, nikamwambia nakuja kuichukua kesho niipeleke kwa fundi,
kesho yake nafika kuniona tu anajidai kushtuka huku mkono mmoja ameziba mdomo, sasa nikamuuliza mbona umeshtuka baada ya kuniona, akasema yani sikutarajia kama utakuja muda huu, hapa nimechanganyikiwa sijui kama utanielewa cuz simu yangu tangu asubuhi naitafuta siioni so nahisi imeibiwa....
Mnyamwezi nikampa pole alafu nikajikataa
loverboy hapa hujakosea kabisa
 
Back
Top Bottom