shida hamuaminiki unavumiliwa ukiwa choka mbaya ukitusua unamwona yule mwanamke tena si hadhi yako
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app
Hata hapa Dar wapo madem wa hivyo, ni kila mahali wapo ila kwa kuwa vijana mnataka wanawake wa show off endeleeni kuipata fresh!Inabidi kuwa makini tu katika utafutaji;mi naamini yupo mtu sahihi kwa kila mtu.Si lazima we uko Dar unataka ke awe Dar,zunguka huko mikoani hata nje ya nchi umpate yule Mungu aliyekupangia.
ha ha ha haHata hapa Dar wapo madem wa hivyo, ni kila mahali wapo ila kwa kuwa vijana mnataka wanawake wa show off endeleeni kuipata fresh!
Wanawake wa maana mnawaitaga washamba, ila hizo ndio kali zetu wandewa. Mtoto akianza kutakata mafisi kibao wanajifanya kuvizia!ha ha ha ha
Waache waendelee hivyo hivyo.Ukiuliza wanawake wengi watakuambia wanataka kijana mwenye maono atakama hana fedha, Kwa sababu wengi wao wanaogopa kusema waz wazi wanataka wanaume wenye hela/mafanikio tayari, kwa kuhofia jamii itawachukilia vibaya, na ni wachache wenye ujasir wa kusema wazi wazi wanataka wanaume wenye ela.
Na hii ni kutokana na ukweli kwamba wanawake walio wengi na sio wote, wanataka mwanaume ambaye tayar anamafanakio hawako tayar kuingia gharama ya kuyatafuta hayo mafanikio, Na vijana wengi wamajimudu kimaisha ila hawana hayo mafanikio wanayoyataka wanawake.
Kwa sababu Kwa vijana wenye mafanikio wanayoyataka wanawake in kuanzia miaka 32+ kuendelea na wengi wao wameshaoa tayari, kwa hy wanawake weng wanaishia kua michepuko wanapo date na hili kundi LA vijana
Nini kinafuata inabid vijana tutumie uongo wa hali juu, ata akija kujua ukweli tayar ni mke wako na ujauzito juu, Kwa sababu wanawake wengi sio wote hawapend ukweli
nimeelewa sana iyo sentensi ya mwisho mkuu,wanawake ni kama object,ndo maana unaamini wanaume wanatakiwa wafanikiwe kwanza ndo wapate wanawake.sikiliza mdogo wangu.... mambo mengine yooote ni ngonjera tu..... Mwanaume lazima uwe na mali hicho ndicho kigezo kikuu cha kwanzwa kuku define wewe kama mwanaume na hii ni tangu Adamu alivyoaasi na kulaaniwa na Mungu kuwa kwa jasho utakula na kumtunza mkweo.
Ukiwa mkuliwa ili watu wakupe mke wanataka kuona shamba lako na mavuno unayovuna na gane (geto/nyumba) lako ulilojenga ambapo utamlaza binti wa watu unaetaka kumuoa.
Halikadharika hata ninyi wavulana wa Dar es Salaam lazima muoneshe hivyo vitu ili tuwaamini kuwaozesha mabinti wa watu. kama una miaka 25 ndo umemaliza chuo acha kupaparikia watoto wa watu kaa chini tafuta michongo ya kufanya hadi ukifikia 33 utakuwa umejishikiza walau una kazi maalum, umenunua ka IST, umejenga vyumba viwili kisemvule au umepanga nusu nyuma sasa hapo demand kuoa wanawake na wazazi wao/wako watakuelewa kuwa sasa wewe ni mwanaume.
Tatizo lenu nyie vijana mnayakimbilia mambo yasiyo saizi zenu na ndiyo maana mkitoshwa hamuishi kul;alama. hakika nakwambia, binti aliyefikia umri wa kuolewa labda wa 22 ukiona akakubali kavulani ka 25 kasiko jipanga kama nilivyosema hapo juu nae atakuwa na matatizo makubwa sana. most of them wanawatafuta waliopevuka atleast 30 and above maana hawa ndiyo wanaoweza kuimudu ndoa kwa maana ya kumtunza mke. kumbuka hatuoi wanawake ili waje kutusaidia maisha, tunawaoa ili tuwatunze full stop.
Niliona na nikakujibuuSakayo hukuona nilivyokumiss jana, mbona Aspirin ni muelewa sana, tatizo lilo WP
Sent using Jamii Forums mobile app
Hatari sana, naomba uanzishe chuo cha kusaidia kujenga hiki kizazi cha kuku wa kizungu maana una madini mazito sana.
Sent using Jamii Forums mobile app