Kanali_
JF-Expert Member
- Nov 18, 2018
- 4,816
- 7,342
Unadhani kubet rahisi eeh!!??? Kwa taarifa yako nnapobet nahangaika zaidi ya huyo mama ntilie.Nashangaa sana mtu unashinda unabet mkeo anahangaika?
Unadhani kubet rahisi eeh!!??? Kwa taarifa yako nnapobet nahangaika zaidi ya huyo mama ntilie.Nashangaa sana mtu unashinda unabet mkeo anahangaika?
NDIO kuna ubayaKuna ubaya?
Ile 50 / 50 maana yake nini!!??Ni uhayawani kumuacha mkeo alishe huku wewe ukiwa mzima wa afya. Mwanamke anatakiwa akae nyumbani aletewe.
Kinyume na hapo ni maafa.
Kwetu hakuna 50/50. Hii ipo kwa wasio jitambua. Kwanza aibu kwa mwanaume kumtegemea mwanamke. Kwanza inakuwaje na mtu unaanzaje ?Ile 50 / 50 maana yake nini!!??
Wee watu wanaheshimu mikeka kuliko ata degree zao🤣🤣🤣🤣🤣Wanabet
Nimekuambia tafiti hupingwa kwa tafiti, fanya tafiti. Fanya utafiti utapata majibu. Tatizo lako unadhani ni kuwa familia zote wanalishwa na wake zao. Kumbuka miaka ya nyuma ilikuwa nadra kukuta mwanamke analisha familia huku wewe unashinda unabet.Hakuna kilichonigusa hapo ndugu, labda hizi kelele nyingi kwenye majukwaa yao ndio zinakuchanganya uone ni wataftaji kuzidi wanaume. Niseme tu umepotoka ndugu yangu, yawezekana jamaa zako wa karibu inawatokea hiyo hali sasa usijumuishe kwa mji mzima.
Yaani mfano wako ni hao wanaotembeza bidhaa barabarani(na ndio data zako zimeishia hapo😂😂) we jamaa bna.
Wee watu wanaheshimu mikeka kuliko ata degree zao
Kwani mwanamke kutafuta pesa ndo kutegemewa!!?? Vipi kama Baba anatafuta na Mama anatafuta? Tatizo lenu mnapigania haki sawa lkn bado hamjawa tayari.Kwetu hakuna 50/50. Hii ipo kwa wasio jitambua. Kwanza aibu kwa mwanaume kumtegemea mwanamke. Kwanza inakuwaje na mtu unaanzaje ?
Wala sio janga...angalau wametusaidia kupunguza wakabaji mtaani...vijana wakiamka wana waza mikeka so hamna muda wa kuwaza kumkaba mtu. Na kodi tunapata.Limekuwa janga la taifa utashangaa vile wababa watu wazima wanabeti
Siku hizi?mama ni nguzoUkitembea kila mji mkubwa au mdogo hapa Tanzania utakuta akina akina mama wapo busy kutafuta maisha, utakuta akina mama wauza uji, wauza karanga, wauza uji na mihogo wakiwa na watoto wao migongoni. Wakipata kipato wanalisha watoto na baba zao. Hii ni kasumba imeanza lini hapa Tanzania?
Akina baba wanashinda vijiweni wakipiga soga huku wakichati na masmatifone, hivi hamuoni aibu? Kwa nini msirudi kijijini?
"Tafiti hupingwa kwa tafiti"Nimekuambia tafiti hupingwa kwa tafiti, fanya tafiti. Fanya utafiti utapata majibu. Tatizo lako unadhani ni kuwa familia zote wanalishwa na wake zao. Kumbuka miaka ya nyuma ilikuwa nadra kukuta mwanamke analisha familia huku wewe unashinda unabet.
Uwe makini unapo mquote tu,siamini katika haki sawa,bali naamini katika stahiki ya haki,yaani kila apate haki yake ila si usawa wa haki wala kufanana kwa haki. Kama kuna utofauti kati ya mwenye akili na asiyekuwa na akili,vipi kuwa na usawa wa haki kati ya mwanaume na mwanamke ?Kwani mwanamke kutafuta pesa ndo kutegemewa!!?? Vipi kama Baba anatafuta na Mama anatafuta? Tatizo lenu mnapigania haki sawa lkn bado hamjawa tayari.
Sisi ni mwili mmojaUkitembea kila mji mkubwa au mdogo hapa Tanzania utakuta akina akina mama wapo busy kutafuta maisha, utakuta akina mama wauza uji, wauza karanga, wauza uji na mihogo wakiwa na watoto wao migongoni. Wakipata kipato wanalisha watoto na baba zao. Hii ni kasumba imeanza lini hapa Tanzania?
Akina baba wanashinda vijiweni wakipiga soga huku wakichati na masmatifone, hivi hamuoni aibu? Kwa nini msirudi kijijini?