Duke Tachez
JF-Expert Member
- Mar 28, 2018
- 5,441
- 4,093
ntarudi
Fuatilia upate jibuDaah hizi tafiti siku hizi aisee
Miji gani hiyo mikubwa wanawake wanachakalika halafu wanaume wanapiga umbea.
Si kweli mkuu wanaumea ndio wanaolisha familia nyingi na hao wanawake wanaochakalika sana hii miji mikubwa ni single mothers. Ndio hivyo asipochakalika mwanae atakula nini.
Mwanaume mwanaume tu aisee.
Kama umeolewa inaonekana mwanaume wako anakuvumilia sana, unaonekana mtu wa shari sanaPamoja na yote hayo bado anataka mwanamke huyo huyo amtii na kumuheshimu,tena kama mwanamke anapokea mshahara ampe yeye aupangie matumizi...chaaa!!!
Jibu ni kua tafiti yako ni ya uongo.Fuatilia upate jibu
Shari nalitoa wapi wakati mume anajua majukumu yake..!?akikuta hata pipi mezani anauliza hii kanunua nani..!?nguvu ya shari naitoa wapi ndugu yanguu...?Kama umeolewa inaonekana mwanaume wako anakuvumilia sana, unaonekana mtu wa shari sana
Wanakula jeuri yaoUkitembea kila mji mkubwa au mdogo hapa Tanzania utakuta akina akina mama wapo busy kutafuta maisha, utakuta akina mama wauza uji, wauza karanga, wauza uji na mihogo wakiwa na watoto wao migongoni. Wakipata kipato wanalisha watoto na baba zao. Hii ni kasumba imeanza lini hapa Tanzania?
Akina baba wanashinda vijiweni wakipiga soga huku wakichati na masmatifone, hivi hamuoni aibu? Kwa nini msirudi kijijini?
Yaanii,kuna wanawake wako jehunum aki vile for the name of ndoa,hela watafute wao bado manyanyaso ya mume na ukoo wake loh,.Na hapo mke asilalamike utasikia kisa pesa zake analeta kiburi mashitaka mpaka kwa mama mzazi ili wifi zake wamuone mbaya
Sent from my HUAWEI KII-L22 using JamiiForums mobile app
Me sijui but unaonekana tu ni mtu wa kelele, so anakuvumilia kwa hilo kwa kweliShari nalitoa wapi wakati mume anajua majukumu yake..!?akikuta hata pipi mezani anauliza hii kanunua nani..!?nguvu ya shari naitoa wapi ndugu yanguu...?
Kubet sio rahisi kama unavyofikiria.Nashangaa sana mtu unashinda unabet mkeo anahangaika?
Hakuna kilichonigusa hapo ndugu, labda hizi kelele nyingi kwenye majukwaa yao ndio zinakuchanganya uone ni wataftaji kuzidi wanaume. Niseme tu umepotoka ndugu yangu, yawezekana jamaa zako wa karibu inawatokea hiyo hali sasa usijumuishe kwa mji mzima.Ahaaa, najua imekugusa. Nakupa nafasi na wewe fanya alafu utapata jibu. Andaa dodoso alafu tafuta data.
Ndivyo walivyo mkuu tuwazoee.Yaan mwanamke mmoja akimlisha mwanaume mmoja tena kwa wkt flani tuu basi kelele mji mzima duh?
Both Teams to Score(GG)Wengi sana wako hvyo hivi why mtu mzima na familia unabet!kitaalam ni nn hiyo
Wewe wasema😝Me sijui but unaonekana tu ni mtu wa kelele, so anakuvumilia kwa hilo kwa kweli
Its okay kumlea mwanaume asiye na kazi ukaendelea kumuheshimu bila kumshusha hadhiPamoja na yote hayo bado anataka mwanamke huyo huyo amtii na kumuheshimu,tena kama mwanamke anapokea mshahara ampe yeye aupangie matumizi...chaaa!!!