Hivi punde
JF-Expert Member
- Apr 1, 2017
- 2,554
- 8,552
Watanzania asilimia kubwa hawafaidiki na mtandao wa Facebook kimaisha,bali umekuwa mtandao kama kichaka cha watu (wanawake) kujitangaza, kujiuza na kufanya mapenzi sana na wanaume ambao wanajuana hewani hewani ndani ya muda mfupi.Imefahamika.
Unamkuta mke wa mtu kila siku yupo busy na fb anapost mapicha picha yasiyokuwa na staha na mume wake yupo tu (hata kama hayupo).
Mtu akituma picha, ukamfwata inbox...anajaa haraka sana!Yaan hata kama hamjawahi kuonana uso kwa uso, ukimfwata inbox ukamsifia (ukinga) ,anavimba kichwa.Mnafahamiana muda huo huo na kufanya appointment ya kuonana.
Fb wanawake warahisi sana,kama wana pepo.
Kwann wanawake wameanza kujiuza fb bila haya, bila aibu, bila woga, harakaharaka, kwa kujiamini?
Mtandao was Facebook n kichaka cha watu kutafutana na kutafunana.
Very shame.
Unamkuta mke wa mtu kila siku yupo busy na fb anapost mapicha picha yasiyokuwa na staha na mume wake yupo tu (hata kama hayupo).
Mtu akituma picha, ukamfwata inbox...anajaa haraka sana!Yaan hata kama hamjawahi kuonana uso kwa uso, ukimfwata inbox ukamsifia (ukinga) ,anavimba kichwa.Mnafahamiana muda huo huo na kufanya appointment ya kuonana.
Fb wanawake warahisi sana,kama wana pepo.
Kwann wanawake wameanza kujiuza fb bila haya, bila aibu, bila woga, harakaharaka, kwa kujiamini?
Mtandao was Facebook n kichaka cha watu kutafutana na kutafunana.
Very shame.