Wanawake wengi huomba kufanyiwa upasuaji badala ya kujifungua kawaida

Hapana siwezi kuwaambia hivyo maana sijui kwa nini alipata operation kuna wengine uchungu aliupata na akateseka ila mwisho wa siku akaambulia kisu kunusuru maisha yake na ya mwanae na kuna mwingine aliupata uchungu na kisu juu na bado akakosa mtoto, huyu kumjibu hivyo ni kumuumiza maana uchungu wa labour anaujua mule ni nusu kifo either utoke mzima au utoke umefariki au mtoto mzima au amefariki au nyote wawili muende kaburini.
Ujinga Mzigo!! Wenzako wengi siku hizii huwa wanachagua kupasuliwa hata kabla ya mimba.

Ukiwaona wanalalamika uwe unawaambia wakome.
 
Si kweli kwamba mimba ya kwanza ukipigwa kisu basi mimba zinazofuata lazima upigwe kisu tena, inategemeana na sababu iliyopelekea ukafanyiwa operation. Kama sababu iliyopelekea ukafanyiwa CS mara ya kwanza haipo kwenye mimba ya pili unaweza kujifungua kawaida ila muhimu kuwepo hospital inayoweza kufanya operation ili ikishindakana basi ufanyiwe upasuaji haraka

Ila kama mimba ya kwanza na ya pili zote ulifanyiwa operation basi ya tatu haiitaji kusubiri ni moja kwa moja operation
Mtoa mada hawaongelei kina mama wenye complications wakati wa kuzaa maana hao ni lazima njia mbadala itumike. Anaongelea wale wanaotaka upasuaji sababu ya uoga au sababu zingine zisizo na mashiko. Sasa unafikiri mimba ya kwanza ukiogopa kujifungua kawaida ya pili utaweza?

Kuzaa kunaambatana na maandalizi kiakili na kimwili, akipigwa kisu ya kwanza mimba zinazofuata itakua vigumu sana kwa akili na mwili kufanya maamuzi ya kuzaa kawaida.
 
Habari wakuu na wadogo wote.

Hii si habari njema hata kidogo. Kumekuwa na ongezeko la wanawake wanaojifungua kwa njia ya upasuaji kuliko njia ya kawaida. Na habari yakusikitisha ni kwamba, wanawake wengi huomba wenyewe kufanyiwa upasuaji.

Kwanza naomba nisiulizwe chanzo cha habari hii. Huu ni utafiti wangu binafsi, kutokana mizunguko ya kila siku na watu ninaokutana nao. Source kubwa ya habari hii ni mchumba wangu ambaye ni hufanya kazi kwenye idara ya afya sehemu fulani.

Imekuwa ni jambo la kawaida kwa wanawake wengi kuomba wafanyiwe operation badala ya kusubiri kupush kama ambavyo imezoeleka. Kinachowapelekea wengi kupenda kufanyiwa upasuaji ni sababu za urembo tu na kupenda starehe. Hawana lingine. Yaani cosmetic and leisure reasons are behind the whole movement. Wapo wanaodai sehemu zao za siri zitatanuka na hivyo kupoteza mvuto baada ya kujifungua na wengine wakidai kujifungua kwa kupush ni maumivu sana hawawezi kuyavumilia. Wadada hawataki shida kabisa. Ikumbukwe hospitali binafsi ni biashara, na motive za kampuni (biashara) ni kumaximize profit. So ukija unataka kupasuliwa tutakupasua tu sisi tupige hela vizuri.

Kasumba hii inaendelea hata kwenye kunyonyesha watoto. Wanawake hawataki kunyonyesha watoto matiti yao kwa sababu wanadai yataharibika na kupoteza mvuto. Hali si shwari huko mahospitalini, hasa ya private ambako kuna uhuru wa huduma, specilists wengi wanafatwa na wadada wakidai wawapasue hawana mpango wa kupush. Uchunguzi umegundua wengi wa wanaopenda kupasuliwa ni wanawake wenye kipato cha kati ambao wanaweza kumuda gharama za upasuaji, either kwa bima au kwa kulipa cash. Ambao wengi ni wenye kiwango fulani cha elimu yaani tunaowaita wasomi huku katika jamii yetu.

Kule jijini Mwanza kuna afisa wa polisi mmoja mkewe alikua client wangu katika mambo fulani. Dada yule anayeitwa Eunice alikua na watoto 3 mwaka 2016. Watoto wake wote 3 aliwazaa kwa njia ya upasuaji ambapo kuna 2 au wote watatu (sikumbuki vizuri) wanafanana tarehe zao za kuzaliwa ikiwa ni juhudi zake mwenyewe kupitia kujifungua kwa njia ya upasuaji. Kimsingi yeye hataki kabisa masuala ya kuumia uchungu wakati wa kujifungua.

Hiyo ndio hali halisi

Mods kama heading haijakaa vizuri rekebisheni.
Wanawake wengi sahivi wanagongwa nyuma ndomana wanaomba upasuaji sababu wanajua watadhalilika wakijifungua kawaida
 
Ukweli ulio mchungu na usiosemwa na wengi ni kwamba wanapendelea upasuaji kwakuwa wengi hawana marinda

Wafuasi wa nabii Tito? anyway mie kuna mdada alikuwa na mimba yake ya kwanza, yeye alichagua kuzaa kwa operation na sababu zake alisema kwanza anakwepa uchungu, pili anajihisi kuwa ana ukimwi hivyo akizaa kwa kisu basi sio rahisi kumwambukiza mtoto na mwisho akasema ni kuitunza K yake ibaki kawaida, ila pia jamaa waliokuwa wanatoka naye walikuwa wanamsifia sana X713
 
Wafuasi wa nabii Tito? anyway mie kuna mdada alikuwa na mimba yake ya kwanza, yeye alichagua kuzaa kwa operation na sababu zake alisema kwanza anakwepa uchungu, pili anajihisi kuwa ana ukimwi hivyo akizaa kwa kisu basi sio rahisi kumwambukiza mtoto na mwisho akasema ni kuitunza K yake ibaki kawaida, ila pia jamaa waliokuwa wanatoka naye walikuwa wanamsifia sana X713
Vingine vyote ni visingizio... Mtaro na marinda ndio uhalisia
 
Mhhhh kwa jinsi mshono unavyouma (ninavyowasikia wakilalamika) lakini pia naimagine mtu kuwa na kidonda mshono wa maisha, mimi nilikuwa naingizwa kwenye chumba cha upasuaji aiseee niliomba niliomba sana Mungu aniepushe na kisu niliomba sana jamani sidhani kama mpaka leo kuna siku nliyoomba kama siku ile, ikatokea bahati pia kuna mchungaji kaja kumuombea mtumishi wake kwa vile labour nzima niliyekuwa naomba kwa sauti ni mie wakajua huyo mchungaji amenifata mie basi wakamuingiza chumbani kwangu kwa dakika 2 aiseee niliomba siku ile sikulia kama wengine mimi niliomba tu niepushwe na kisu, na kweli Mungu wangu si kiziwi alisikia maombi yangu wakati wanajiandaa vifaa na chumba cha upasuaji nami nikajifungua njia ya kawaida.
Mimi ni nani mpaka niogope kujifungua kawaida ilihali hata kwenye vitabu vya dini vimetueleza tuzae kwa uchungu.
Nafikiri huo uchungu na experience hiyo ndo inatengeneza bond aiseee nampenda sana kidume changu na yeye ananipenda hatariiii na tumefananana mno.
Kwani anayefanyiwa OP hapati uchungu!?
 
Ni kweli, wengi wao wanaopt caeserian section, muda mwingine kuavoid complications, kwenye kujifungua kuna mengi sana.
 
Kwanza kabisa ni maamuzi yake na anasababu zake. Si kila mtu anataka ku experience uchungu wa uzazi.
Pili operation haisaidi kitu katika kubakiza usichana wa mtu. Kwa maana mtu anapokaribia kujifungua njia huwa ishaanza kutanuka (if at all unadhani kuzaa kawaida kunalegeza chiu). Kama matiti kulegea huwa yanalegea tokea kipindi cha mimba unless uwe hujanenepa.
Mbona mnapotosha... Hakuna Dr. anamuuliza mgonjwa amtibu vipi..

Vipimo vyake ndo vinamfanya ampe tiba gani..
Mathalani huko labor hakuna mama anasuggest ajifungue vip!!? Kwanza hiyo akili unaitoa wapi na saa ngapi.. Madokta wanamcheki wanaangalia options kisu au kawaida...
 
Madhara yapo mengi sana. Sema tu nimeona uzi utakuwa mrefu sana.
Unaandika kimihemko. Kwa hali ya sasa ili kumnusuru mtoto na madhara ya kuzaliwa ni bora mama akajifungua kwa Operation ya kupanga. Nakuapia mtoto ambaye hakupitia misukosuko ya kubanwa, au kunywa maji ya uzazi, nk huwezi kumkuta ana bichwa kubwa au kuwa taahira. Sisi tulipona kwa vile tulizaliwa vijijini na wakunga wa jadi. Makabila mengine kama wamasai walikataza mjamzito kula baadhi ya vyakula ili katoto kaziwe kakubwa kakashindwa kupita katika mlango wa uzazi etc. Hivi unajua mateso ya mama wajawazito hadi mwingine alijichana na kutoa mtoto? Let’s congratulate those mother who arrange and I do repeat who arrange for Operations
 
Mtoa mada hawaongelei kina mama wenye complications wakati wa kuzaa maana hao ni lazima njia mbadala itumike. Anaongelea wale wanaotaka upasuaji sababu ya uoga au sababu zingine zisizo na mashiko. Sasa unafikiri mimba ya kwanza ukiogopa kujifungua kawaida ya pili utaweza?

Kuzaa kunaambatana na maandalizi kiakili na kimwili, akipigwa kisu ya kwanza mimba zinazofuata itakua vigumu sana kwa akili na mwili kufanya maamuzi ya kuzaa kawaida.
Tatizo baadhi ya Me wenzio walivyoandika hapa wanajumuisha wanawake wote hadi wale wenye complications. Na kuna mmoja hapo juu ye anachukulia hata hizo tatizo zinazosababisha mtu afanyiwe Upasuwaji hazipaswi kuwepo. Eti kisa zamani hawakufanyiwa. Ya kweli hayo?

Tusitake kuileta zamani wakati ishapita hiyo. Na ndio sababu maisha waliyoishi hao wa zamani yako tofauti na tunayoishi sasa.

Mi naona wajikite kwenye wale wanaotaka wenyewe.
 
Mbona mnapotosha... Hakuna Dr. anamuuliza mgonjwa amtibu vipi..

Vipimo vyake ndo vinamfanya ampe tiba gani..
Mathalani huko labor hakuna mama anasuggest ajifungue vip!!? Kwanza hiyo akili unaitoa wapi na saa ngapi.. Madokta wanamcheki wanaangalia options kisu au kawaida...

Boss unazungumzui u Dr wa wapi? Siku zote na mahali popote Daktari ni mshauri wa kitaalamu kwa mgonjwa/mteja wake na kumbuka mama mwenye mimba sio mgonjwa bali ni kubadilika kwa maumbile ya mwili kitu ambacho ni kawaida, kipindi chote cha kabla ya kubeba mimba na wakati wa mimba daktari hutoa ushauri unaomfaa mama mzazi mtarajiwa na ndipo hapo makubaliano ya njia ipi nzuri na salama inayokubalika kwa pande zote mbili ije kutumika siku inapofika na ndio hapa mama anaweza kusema..nataka nijifungue mtoto kwa njia ya kawaida na sitaki kabisa kusikia maumivu wala kupoteza fahamu hata kidogo, sasa hapo ndipo daktari hutekeleza kile ambacho mteja anakitaka,

Kumbuka kuzaa ni kupanga na sio kufyatua!
 
Mtoa mada hawaongelei kina mama wenye complications wakati wa kuzaa maana hao ni lazima njia mbadala itumike. Anaongelea wale wanaotaka upasuaji sababu ya uoga au sababu zingine zisizo na mashiko. Sasa unafikiri mimba ya kwanza ukiogopa kujifungua kawaida ya pili utaweza?
Kuzaa kunaambatana na maandalizi kiakili na kimwili, akipigwa kisu ya kwanza mimba zinazofuata itakua vigumu sana kwa akili na mwili kufanya maamuzi ya kuzaa kawaida.
Mtoa mada mwenyewe hajielewi..
Hakuna Dr. atayemsikiliza Mama ati afanyiwe operation wakati njia yake iko sawa na hana magonjwa...
Sijui... !
 
17 Reactions
Reply
Back
Top Bottom