Zero IQ
JF-Expert Member
- Dec 21, 2016
- 13,917
- 24,674
Wanaume wenzangu mnatakiwa mtambue kwamba kuwa na mwanamke siyo kosa ila kuwa na mwanamke mbaya asiye kidhi vigezo vyako ni kosa lako mwenyewe usilaumu na kutamani wake za wenzako,
Mungu kaumba kila Aina za wanawake kazi ni kwako tu kuchagua yule atakaekufaa,
Kuna msemo wa kwamba hakuna mwanamke mbaya duniani ila mimi leo mr Zero IQ nakwambia kwamba wanawake wabaya wapo na wanaishi,
Unayemuona kwako mzuri basi kwa mwenzako anaweza kuwa mbaya sasa cha kufanya unatakiwa useme na Moyo wako,
Wewe moyo wako unatamani wanawake wenye chura kwa kujivunga unaenda kuoa mwanamke kimbau mbau kweli Tamaa itakuishia, migogoro itaisha kwenye Ndoa?
Moyo ukitaka tipwa tipwa tafuta liweke ndani, ukitaka mwenye chura kama snura tafuta Vuta weka ndani, ukitaka slim kama miss wema wa 2006 tafuta vuta weka ndani,
Ya nini udhulumu Nafsi yako.
CC Zero IQ
Mungu kaumba kila Aina za wanawake kazi ni kwako tu kuchagua yule atakaekufaa,
Kuna msemo wa kwamba hakuna mwanamke mbaya duniani ila mimi leo mr Zero IQ nakwambia kwamba wanawake wabaya wapo na wanaishi,
Unayemuona kwako mzuri basi kwa mwenzako anaweza kuwa mbaya sasa cha kufanya unatakiwa useme na Moyo wako,
Wewe moyo wako unatamani wanawake wenye chura kwa kujivunga unaenda kuoa mwanamke kimbau mbau kweli Tamaa itakuishia, migogoro itaisha kwenye Ndoa?
Moyo ukitaka tipwa tipwa tafuta liweke ndani, ukitaka mwenye chura kama snura tafuta Vuta weka ndani, ukitaka slim kama miss wema wa 2006 tafuta vuta weka ndani,
Ya nini udhulumu Nafsi yako.
CC Zero IQ