Wanawake wazuri wengi wamezalishwa na wako nyumbani kwao, au kuna kampeni maalum ya kuwapachika mimba na kuwatema?

Mukulu wa Bakulu

JF-Expert Member
Aug 12, 2014
4,052
12,905
Sijui ni kampeni ya wanaume ya kuwapiga warembo mimba na kuwaacha kwao au nini, sijaelewa.

Siku hizi mabinti wengi warembo wamezalishwa na wako kwao, nashindwa kuelewa, hawa warembo hawana sifa ya kuolewa na kuwekwa ndani, hii trend ya kuwapachika mimba na kuwatelekeza nyumbani mbona inakua kwa kasi sana?

Unakutana na mtoto mzuri, mrefu mwenye umbile zuri, mnachat siku mbili tatu unawza kama unaweza kuweka kambi, unaamua kumfanyia due deligence kabla hujampa go ahead, unagundua amezaa ana mtoto, unakua descouraged, unatemana nae, kesho tena ukikutana ma mwingine same story over and over and over.

Wakuu, kuna kampeni ya kimia kimia ya kuwapachika hawa walimbwende mimba na kuwatema? Mbona hatushirikishani? Mwenyekiti wa chama cha wanaume mbona hatoi taarifa kwa wajumbe wote ambao tunatoa michango ya uanachama hata kama hatuhuzurii kwenye vikao.
 
Sijui ni kampeni ya wanaume ya kuwapiga warembo mimba na kuwaacha kwao au nini, sijaelewa.

Siku hizi mabinti wengi warembo wamezalishwa na wako kwao, nashindwa kuelewa, hawa warembo hawana sifa ya kuolewa na kuwekwa ndani, hii trend ya kuwapachika mimba na kuwatelekeza nyumbani mbona inakua kwa kasi sana?

Unakutana na mtoto mzuri, mrefu mwenye umbile zuri, mnachat siku mbili tatu unawza kama unaweza kuweka kambi, unaamua kumfanyia due deligence kabla hujampa go ahead, unagundua amezaa ana mtoto, unakua descouraged, unatemana nae, kesho tena ukikutana ma mwingine same story over and over and over.

Wakuu, kuna kampeni ya kimia kimia ya kuwapachika hawa walimbwende mimba na kuwatema? Mbona hatushirikishani? Mwenyekiti wa chama cha wanaume mbona hatoi taarifa kwa wajumbe wote ambao tunatoa michango ya uanachama hata kama hatuhuzurii kwenye vikao.
eti mbona hatushirikishani!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sijui ni kampeni ya wanaume ya kuwapiga warembo mimba na kuwaacha kwao au nini, sijaelewa.

Siku hizi mabinti wengi warembo wamezalishwa na wako kwao, nashindwa kuelewa, hawa warembo hawana sifa ya kuolewa na kuwekwa ndani, hii trend ya kuwapachika mimba na kuwatelekeza nyumbani mbona inakua kwa kasi sana?

Unakutana na mtoto mzuri, mrefu mwenye umbile zuri, mnachat siku mbili tatu unawza kama unaweza kuweka kambi, unaamua kumfanyia due deligence kabla hujampa go ahead, unagundua amezaa ana mtoto, unakua descouraged, unatemana nae, kesho tena ukikutana ma mwingine same story over and over and over.

Wakuu, kuna kampeni ya kimia kimia ya kuwapachika hawa walimbwende mimba na kuwatema? Mbona hatushirikishani? Mwenyekiti wa chama cha wanaume mbona hatoi taarifa kwa wajumbe wote ambao tunatoa michango ya uanachama hata kama hatuhuzurii kwenye vikao.
Mkuu hiyo kawaida.. Mi kabla siajoa ilikuwa kama gundu, kila mahali nikigusa nakutana na single mother ila ni vile nilishaapa siwez weka ndani single mother, wengi wanakuwaga na confidence za kijinga ndo maana wanaishia kupigwa mimba na kuachwa!!
 
eti mbona hatushirikishani!
Sent using Jamii Forums mobile app
Sure mkuu.

Mimi nakua busy sana kwa siku za wiki na week end inakua fupi sana kwangu, so nakupotana na mrembo ambae amekidhi sifa zangu za kawaida(minimum qualification) hua nafikiri kumpa nafasi adim awe boss wangu wa maisha, nimpe nafasi ya pekee kwenye maisha yangu. Hivyo naamua kabla sijampa kibali nimfanyie utafiti, nakuta ana mtoto. Mimi binti akishakua na mtoto hata awe mzuri vipi anapoteza sifa labda baba wa mtoto awe amekufa. Hii ni kawaida sana siku hizi. Ndio maana nauliza kama kuna kampeni mbona hatushirikishani?
 
Sijui ni kampeni ya wanaume ya kuwapiga warembo mimba na kuwaacha kwao au nini, sijaelewa.

Siku hizi mabinti wengi warembo wamezalishwa na wako kwao, nashindwa kuelewa, hawa warembo hawana sifa ya kuolewa na kuwekwa ndani, hii trend ya kuwapachika mimba na kuwatelekeza nyumbani mbona inakua kwa kasi sana?

Unakutana na mtoto mzuri, mrefu mwenye umbile zuri, mnachat siku mbili tatu unawza kama unaweza kuweka kambi, unaamua kumfanyia due deligence kabla hujampa go ahead, unagundua amezaa ana mtoto, unakua descouraged, unatemana nae, kesho tena ukikutana ma mwingine same story over and over and over.

Wakuu, kuna kampeni ya kimia kimia ya kuwapachika hawa walimbwende mimba na kuwatema? Mbona hatushirikishani? Mwenyekiti wa chama cha wanaume mbona hatoi taarifa kwa wajumbe wote ambao tunatoa michango ya uanachama hata kama hatuhuzurii kwenye vikao.
Jitahidi uwe unakuja kwenye vikao Mkuu utapitwa na mengi sana. Tayari hilo ni azimio rasmi na wanachama watiifu tupo hatua ya utekelezaji. Ni mwendo wa kufukuza mwizi kimya kimya si unajua wanaume hatuongei sana yetu matendo tu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sijui ni kampeni ya wanaume ya kuwapiga warembo mimba na kuwaacha kwao au nini, sijaelewa.

Siku hizi mabinti wengi warembo wamezalishwa na wako kwao, nashindwa kuelewa, hawa warembo hawana sifa ya kuolewa na kuwekwa ndani, hii trend ya kuwapachika mimba na kuwatelekeza nyumbani mbona inakua kwa kasi sana?

Unakutana na mtoto mzuri, mrefu mwenye umbile zuri, mnachat siku mbili tatu unawza kama unaweza kuweka kambi, unaamua kumfanyia due deligence kabla hujampa go ahead, unagundua amezaa ana mtoto, unakua descouraged, unatemana nae, kesho tena ukikutana ma mwingine same story over and over and over.

Wakuu, kuna kampeni ya kimia kimia ya kuwapachika hawa walimbwende mimba na kuwatema? Mbona hatushirikishani? Mwenyekiti wa chama cha wanaume mbona hatoi taarifa kwa wajumbe wote ambao tunatoa michango ya uanachama hata kama hatuhuzurii kwenye vikao.
hahahaa mkuununachekesha sna. Unazungumzia wenye chura au flat screen?

Ni kama wanaume tumemua kuwaadhibu. Huku uswazi ndio usiseme. Kila mzuri basi anmtitonyumbani, bora nyie mnaokaa ushuani mnapumua
 
Wanawake wanapitia mengi sana, siwezi walaumu sana, what i know is mahitaji ya mabinti ni makubwa plus wanafeelings nao, so Kama mzazi hajamuandaa binti ipasavyo kupambana na changamoto lazima atapata tu kianzio(mtoto) but pia mda flani ni Mungu tu aliamua kumpitisha mtoto wa kike kwenye shida atatoka tu.....

Sent using Jamii Forums mobile app
Nyingi wanatak wao, tamaa mbele mauti nyuma
 
Kuna kabinti ka jirani yetu leo kamerudishwa kutoka shule kanalia ni balaa mpaka tukahisi kuna msiba,
Kumbe wamepimwa mimba shuleni kwao na kamekutwa kako preggy
afu just imagine ndo kako form one.!!
Wanaume mkuwe japo na huruma basii.!!
Lakini ukikakuta kana Sumsang S8 kanabinua viuno hukaambii kitu, hiyo mimba imekuwa bahati mbaya tu lakini vidoho vikishiliki mibabu huwaambii kitu
 
48220025_330403957781672_8301954114225438720_n.jpg
 
Kuna kabinti ka jirani yetu leo kamerudishwa kutoka shule kanalia ni balaa mpaka tukahisi kuna msiba,
Kumbe wamepimwa mimba shuleni kwao na kamekutwa kako preggy
afu just imagine ndo kako form one.!!
Wanaume mkuwe japo na huruma basii.!!
Kanasoma shule ya kutwa?

Watoto wa kike wanaosoma kutwa wanapitia mambo mengi sana, hata kama hawapati mimba ila waanapofika miaka 20 wanakua washatumika na wanaume wengi balaa.
 
Back
Top Bottom