Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tutawatia mimba nyie hadi mtakoma, pale Rombo wanapanga foleni wakija. Hiyo nchi mnahitaji mbegu zetu ndio muamke.Hao wakizaa na wakenya wabaki hukohuko mashinani kwenu.
Msituletee mbegu chafu upande huu.
Wezi, majambazi na mafisadi waliokubuhu wabaki hukohuko.
Mbegu chafu hiyo nani aitake?Tutawatia mimba nyie hadi mtakoma, pale Rombo wanapanga foleni wakija. Hiyo nchi mnahitaji mbegu zetu ndio muamke.
Kweli kabisa atadanganywaje na mkenyaKwanza kabla yakuondoka wachapwe viboko 22 huko
pia wakati wanashuka huku wapokee 22!!
Unadanganywa na Mkenya!!
ujue hao ni mazuzu
Kuna watu wana kiu sana ya kutoka Tanzania aiseeKwanza kabla yakuondoka wachapwe viboko 22 huko
pia wakati wanashuka huku wapokee 22!!
Unadanganywa na Mkenya!!
ujue hao ni mazuzu
Kweli kabisa atadanganywaje na mkenya
Haya nimaelezo ya kichaa tena mtu asiye jitambua kuropoka hayo!!Tutawatia mimba nyie hadi mtakoma, pale Rombo wanapanga foleni wakija. Hiyo nchi mnahitaji mbegu zetu ndio muamke.
Hahaha umenenaHao wakizaa na wakenya wabaki hukohuko mashinani kwenu.
Msituletee mbegu chafu upande huu.
Wezi, majambazi na mafisadi waliokubuhu wabaki hukohuko.
watanzania akili zenu nyepesi sana. unakutana kivipi na mtu kwa masaa machache alafu unamfuata ugenini eti unaolewa. huu ni uenda wazimu. siamini haya yatatokea kwa mtu akili timamu. watanzania mnayo kazi hapa! useless na akili kama nzi!!!!Oooh no,pole Sana watz wenzangu mlikutana na Ibilisi.karibuni tena home
usitukane watz,mbona kuna wakenya wameolewa tz na hatusemi vibaya,hâta Kenya wapo wanawake Wa aina hiyo,heshimu wanawake as unavyorespect sisters zako.what if ikitokea kwenye familia yenu?sijaona kitu spécial sana kwa wanawake wenu,wengi tu wako Kama hao wadada unaowabeza Tena Wako desperate sana.lakini hatujawahi wabeza life sometime ni kukosa na kujirekebisha.watanzania akili zenu nyepesi sana. unakutana kivipi na mtu kwa masaa machache alafu unamfuata ugenini eti unaolewa. huu ni uenda wazimu. siamini haya yatatokea kwa mtu akili timamu. watanzania mnayo kazi hapa! useless na akili kama nzi!!!!
Kwanza kabla yakuondoka wachapwe viboko 22 huko
pia wakati wanashuka huku wapokee 22!!
Unadanganywa na Mkenya!!
ujue hao ni mazuzu
eti ndio wale sasa....hehe ukiwaskia wakiongea utadhani tz imejaa waresh lol! hawa sura zinakaa kama Khoikhoi wa Botswana... ndio maana wanadanganywa...desperate chics...nikama maisha yamekuwa magumu kule kwa magu...wasanii wanaanzisha tweef na wakenya ndio waskike...wengine wanakimbilia waume wa kenya waoleke...maskini tz
Kadoda, si utupe kwenye huu Uzi mapicha kadhaa ya hao warembo was kiTZ.
usitukane watz,mbona kuna wakenya wameolewa tz na hatusemi vibaya,hâta Kenya wapo wanawake Wa aina hiyo,heshimu wanawake as unavyorespect sisters zako.what if ikitokea kwenye familia yenu?sijaona kitu spécial sana kwa wanawake wenu,wengi tu wako Kama hao wadada unaowabeza Tena Wako desperate sana.lakini hatujawahi wabeza life sometime ni kukosa na kujirekebisha.