Daudi1
JF-Expert Member
- Dec 14, 2013
- 8,779
- 8,668
Usioe usomi wakee, usomi aweke nje akiingia ndani anakuwa mke, mambo ya familia amua mwanaume hakuna discussion ukiruhusu ruhusu discussion ndio utaleta majibizano na ubishi usio na maana, husika Moja kwe Moja kwenye huo usomi wake ajione pamoja na usomi wake kwako si kitu, usiulizie ulizie mshahara wake wakati huo timiza majukumu yako kama baba atakuwa na heshima kuwa kumbe usomi wake hauna msaada kwako. Lakini ukionyesha kuwa usomi wake una msaada kwako umempa fimbo ya kukuchapia