Wanawake wasafi, werevu hebu wasaidieni wenzenu katika usafi huu

Azarel

JF-Expert Member
Aug 25, 2016
25,859
33,469
Habarini Wadau,

Najua hili ninalolieleza lilishajadiliwa hapa jamvini ila hakujawahi kupatikana jibu kamili na toshelezi.

Ni hivii nilikuwa nasikia tu kwa wanaume wenzangu kuhusu harufu kwa baadhi ya tupu za kike.

ILA wiki iliyopita nilikuwa na binti mwenye muonekano mzuri kweli na msafi sana wa nguo na ngozi yake (Namfahamu vizuri) ila kwa kule faragha tatizo lilikuwa kule kunako uke, kwakweli sio siri kulikuwa na harufu kali, mbaya na nzito sana.

-Nampenda sana na sijaweza kumuuliza chochote mpk leo, nikahisi labda alikuwa ni mgonjwa au ana fungus ila nlihisi nikimuuliza atachukia sana.

Hebu wanawake wasaidieni wenzenu katika suala hili

◆ "Jinsi ya kusafisha Uke? "

Wapo waliosema kuwa uke haupaswi kusafishwa kwa sabuni yoyote hasa medicated, kwahiyo huwa inajisafisha yenyewe kiasili

Wengine walipinga hilo


Nawasilisha.
 
Unajua Papuchi ni Kama CHOO CHA KULIPIA yani namaanisha public toilet na usipoifanyia usafi2 basi inatoka harufu kama ya MZOGA WA KENGE ndio maana papuchi nyingi zina RANGI NYEUSI,rangi hii ni kutokana na papuchi kuwa chafu sana! Hivyo inakuwa sugu ..yaani hata uoshe na Sabuni za detol box zima ni kazi buree!

By the way mimi ni daktari bingwa wa kutibu papuchi zinazotoa harufu mbaya ..hivyo basi kama una mpenzi wako anatatizo hili nakushauri umlete kwangu haraka nimpe matibabu.
 
Unajua Papuchi ni Kama CHOO CHA KULIPIA yani namaanisha public toilet na usipoifanyia usafi2 basi inatoka harufu kama ya MZOGA WA KENGE ndio maana papuchi nyingi zina RANGI NYEUSI,rangi hii ni kutokana na papuchi kuwa chafu sana! Hivyo inakuwa sugu ..yaani hata uoshe na Sabuni za detol box zima ni kazi buree!

By the way mimi ni daktari bingwa wa kutibu papuchi zinazotoa harufu mbaya ..hivyo basi kama una mpenzi wako anatatizo hili nakushauri umlete kwangu haraka nimpe matibabu.
Weusi wa papuchi ni kutokana na uchafu?

We sikuletei demu wangu kwanini usiende kugonga huo mzoga wa mjusi Kenge?
 
Tatizo wanawake wanafundishana vibaya....According to biologia uchi Wa mwanamke unajisafisha wenyewe sasa wenzangu na Mimi waswahili tunfundishana eti kujisafisha uko chini uingize madole,ukwangue, sasa madhara ya kufanya hivo unaua vijidudu bakteria ambao wanakaa kwenye uchi na kufanya mazingira yawe mazuri, sasa hao bakteria wakitoka uchi unaanza kunuka na kutoa harufu...na matokeo yake ukianza kuingiza madole huko chini imekula kwako,utanuka Daima,na huwezi kuacha coz ukiacha uchafu unazidi na harufu inazidi....ila kw a wale wanaoacha papuchi ijisafishe na kusafisha mazingira ya Juu tu tena na sabuni isiyo na kemikali au Maji tu hawanuki kamwe, inabaki ile harufu ya kawaida ya papuji
Ujumbe: wadada acheni kuingiza makitu huko chini mnasababisha kunuke, papuchi inajisafisha yenyewe......
 
Tatizo wanawake wanafundishana vibaya....According to biologia uchi Wa mwanamke unajisafisha wenyewe sasa wenzangu na Mimi waswahili tunfundishana eti kujisafisha uko chini uingize madole,ukwangue, sasa madhara ya kufanya hivo unaua vijidudu bakteria ambao wanakaa kwenye uchi na kufanya mazingira yawe mazuri, sasa hao bakteria wakitoka uchi unaanza kunuka na kutoa harufu...na matokeo yake ukianza kuingiza madole huko chini imekula kwako,utanuka Daima,na huwezi kuacha coz ukiacha uchafu unazidi na harufu inazidi....ila kw a wale wanaoacha papuchi ijisafishe na kusafisha mazingira ya Juu tu tena na sabuni isiyo na kemikali au Maji tu hawanuki kamwe, inabaki ile harufu ya kawaida ya papuji
Ujumbe: wadada acheni kuingiza makitu huko chini mnasababisha kunuke, papuchi inajisafisha yenyewe......
Sawa...naamini umewasaidia
 
Nilikula mpaka nikavimbiwa...nlichukua shuka nikafunga kama derek puani

Na huwezi amini yule mwanamke alikuwa mnato haswa
Msafishe mwenyewe.. Mpige bomba la maji lile lenye kirungu cha pump.. Achchumae kwenye karai na mjomba uingie kazini uisafiche mwenyewe kwa ile roho yako inapenda na baada ya hapo Kama ana George bush aka Vuzi unampiga kiwembe halafu unakula Vitu. Wakati mwingine Vuzi kubwa Na joto la bongo =combination mbaya
 
Papuchi kwa mabinti wa kitanga na makungu wao huwa inasafishwa na kuungwa na viungo then kila ukila unapata hamu ya kumega tena sasa kutana na mabinti wa dar wajua mawigi na instagram kucha ndefu....hata kujichamba hawajui vizuri
Me niko tanga nmekutana na wanawake wawil wa tatizo hili. Nafikiri kuna tatizo mahala fulani kiafya, si bure! Hata usiwavimbishe kichwa.

Mmoja nilimwambia aende kwao nilale peke yangu guest akagoma nichukia mbaya mpaka asubuhi.
 
Me niko tanga nmekutana na wanawake wawil wa tatizo hili. Nafikiri kuna tatizo mahala fulani kiafya, si bure! Hata usiwavimbishe kichwa.

Mmoja nilimwambia aende kwao nilale peke yangu guest akagoma nichukia mbaya mpaka asubuhi.
Sasa we unadhan wa Dar wote ndo wako hvyo?
 
Unajua Papuchi ni Kama CHOO CHA KULIPIA yani namaanisha public toilet na usipoifanyia usafi2 basi inatoka harufu kama ya MZOGA WA KENGE ndio maana papuchi nyingi zina RANGI NYEUSI,rangi hii ni kutokana na papuchi kuwa chafu sana! Hivyo inakuwa sugu ..yaani hata uoshe na Sabuni za detol box zima ni kazi buree!

By the way mimi ni daktari bingwa wa kutibu papuchi zinazotoa harufu mbaya ..hivyo basi kama una mpenzi wako anatatizo hili nakushauri umlete kwangu haraka nimpe matibabu.


Mhhhhh, wewe nishakushitukia. Unataka kutibu au kusample.....usipende vya bure kijana, utajiju!
 
Tatizo wanawake wanafundishana vibaya....According to biologia uchi Wa mwanamke unajisafisha wenyewe sasa wenzangu na Mimi waswahili tunfundishana eti kujisafisha uko chini uingize madole,ukwangue, sasa madhara ya kufanya hivo unaua vijidudu bakteria ambao wanakaa kwenye uchi na kufanya mazingira yawe mazuri, sasa hao bakteria wakitoka uchi unaanza kunuka na kutoa harufu...na matokeo yake ukianza kuingiza madole huko chini imekula kwako,utanuka Daima,na huwezi kuacha coz ukiacha uchafu unazidi na harufu inazidi....ila kw a wale wanaoacha papuchi ijisafishe na kusafisha mazingira ya Juu tu tena na sabuni isiyo na kemikali au Maji tu hawanuki kamwe, inabaki ile harufu ya kawaida ya papuji
Ujumbe: wadada acheni kuingiza makitu huko chini mnasababisha kunuke, papuchi inajisafisha yenyewe......


Nilikuwa na demu wangu miaka ya nyuma, yeye alikuwa anajipiga vidole huku akiwa kajivalisha vitambaa. Yaani alikuwa anajiingiza vidole kwa vitambaa mpaka ndani na kutoa uchafu. Unavyosema ni ukweli maana baada ya masaa kadhaa alikuwa anapuliza kinoma utafikiri hajaoga.
 
Papuchi kwa mabinti wa kitanga na makungu wao huwa inasafishwa na kuungwa na viungo then kila ukila unapata hamu ya kumega tena sasa kutana na mabinti wa dar wajua mawigi na instagram kucha ndefu....hata kujichamba hawajui vizuri
Mkuu aisee acha kabisa...patecho za mjini hapo za insta ni balaa
 
Me niko tanga nmekutana na wanawake wawil wa tatizo hili. Nafikiri kuna tatizo mahala fulani kiafya, si bure! Hata usiwavimbishe kichwa.

Mmoja nilimwambia aende kwao nilale peke yangu guest akagoma nichukia mbaya mpaka asubuhi.
Pole sana mkuu

Huwa inakera sana ile harufu, ni kutafuta tu namna ya kumsaidia.
 
Uchi haunaga hata complications kuosha,we osha tu na maji mengi,osha na sabuni kidogo kama ulipaka mafuta,keep it dry,wipe from front to backwards,vaa underwear zisizobana na za cotton, u should be okay
Complications zozote za discharge zenye harufu ama rangi usioielewa, maumivu wkt wa tendo,muwasho,redness,swelling of any kind nk unapaswa kuwahi hospital for checkup baaas hainaga shortcut,..
Kawaida the vajayjay haina harufu mbaya,na Ina discharge ambayo ni colourless
 
1 Reactions
Reply
Back
Top Bottom