Hornet
JF-Expert Member
- Apr 29, 2013
- 26,104
- 49,388
Ni kweli
umeshawahi kwenda??
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni kweli
Nothing last forever. Dawa zina expire baada ya mwezi ili ukamfaidishe tena mganga kwa mikuku, mimbuzi na mijifedha
kwani wewe siyo mrembo?
Sijui.
Nafikiri hawajiaminiNothing last forever. Dawa zina expire baada ya mwezi ili ukamfaidishe tena mganga kwa mikuku, mimbuzi na mijifedha
weka picha tupate jibu...
Ah si bora uchague Mungu awe tumaini lako..mana yeye hanaga expire date...
Angalia avator ndo mimi huyo..
Tatizo ni kwamba Mungu haruhusu uzinzi na uchunaji mabuzi.
Well, .....
mh sina uwakika sana na hilo.lakin mi nahisi labda tatizo nikwamba wanakuwa wameutumia vibaya uzuri wao kwa kubadilisha wanaume. hali inayowapelekea kuchuja na kupoteza mvuto.sasa ikifika kipindi ambacho wanaitaji ndoa au hata mpenzi wa kudumu wanatafuta njia itakayo wafanya waludishe mvuto wao..
sio kweli,sijawahi kwenda kwa mganga wala kugombania mwanaumee,na sifikiriiii mi nadhan inategemeana ntu na ntu