popbwinyo
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 4,986
- 3,608
Acha kujifanya huna dhambi,Dunia hii ina viumbe wenye matendo ya ajabu sana
Ipo dhambi na ww unatenda ambayo wasioitenda wanakushangaa km unavyoshangaa ww hii,tujifunze kusema Mungu tunusuru na utusamehe,
Unachofanya ni km shekhe anaeita haramu nyama ya nguruwe lkn analewa na kuzini,