Ndo zake eeh??Huyo naona alikua anaoa mke wa pili,alishwahi kuoa tena mwanamke mwenzieView attachment 651811
Ndo zake eeh??Huyo naona alikua anaoa mke wa pili,alishwahi kuoa tena mwanamke mwenzieView attachment 651811
Hana Maisha marefu hapo kazini trust me!! ingekuwa ni hotel ya kitalii kweli angedumu.GGM walisema hayo ni maisha yake binafsi
Malezi sifuri!kwa kuwa demu ni ndugu wa waziri ndio maana wamepewa dhamana, hawakustahili hawa
sana mkuu tunapokwenda siyo pazuriDuu! Dunia inamambo ya hovyo sana
We hauna kosa umewahi kufanya? huwa hudanganyi? dhambi zote sawa hivyo nawewe huna maleziMalezi sifuri!
Unawazo kama langu huyu hafukuzwi kaziNdugu kumbuka wazungu ndo wahamasishaji wakuu wa uchafu huo, kwa mantiki hiyo hawawezi hata kumkata mshahara kwa siku alizokuwa rumande! Siajabu kesi ikiisha wakamhamishia nchi zinazoruhusu ili wakaendeleze libeneke la kutumia artificial dushelele!
Wewe kila mtu mwanafunzi wako! Kumbuka Upendo wa CDMJanet Julius shonza ,mwanafunzi wangu,sijui ulikuwa maharage ya wapi wewe!
Sasa unakataa?hata Jofrey Lea wa Azam TV,David Mwaifuge muigizaji ,na wengine kibao kama hutaki unaacha mkuu,sikulazimishi kukubali.hata Emmanuel Miyamba,Marehemu Kanumba woteee.Wewe kila mtu mwanafunzi wako! Kumbuka Upendo wa CDM
Tatizo mnaongea kwa fikra na matakwa yenu na siyo sheria inaonajeYaa
Na bosi wake asipomchukulia hatua
anang'olewa yy kitu kingine kesi kama
hizi ambazo ushahidi upo direct wa vidio
hazitakiwi kuchukua muda mrefu mwezi
unatosha kumaliza kesi....
Vipi na wale pumbafff wanaonunua watu na wakapandishwa cheo mkuuFunga jela hao.. Pumbavu kabisa
Usilazimishe fikra zako kuwa ndo itavyokuwa,Hana Maisha marefu hapo kazini trust me!! ingekuwa ni hotel ya kitalii kweli angedumu.
Mara ingine hata watoto za wachungaji na mashekhe huwa marhuni tuMalezi sifuri!
Watu hatulijui hili,We hauna kosa umewahi kufanya? huwa hudanganyi? dhambi zote sawa hivyo nawewe huna malezi