Hahahahahahnaona wenye vitambi umetunanga mpaka!
sawa ujumbe umefika..
Shukrani Love bAsante mama Sabrina. Fact
Sio kila sikuhapo kwenye hela jamaniiii mhh mie mchumi mtu kilasiku kutaka hela ka zinaokotwaaa
Duuu sina hilo tendo la ndoaMama Sabrina tafadhali naomba tendo la ndoa.
Ni kweli kabisa muhimu kubadilishanaduh.wakati mwingine wanawake walioko kwenye ndoa wanakera sana. unalazimika kutafuta mchepuko bila kutaka....
Toka wadogo tunapenda mpaka leoo""mpe pesa mkeo inajulikana wanawake tunapenda pesa toka tukiwa wadogokweli tunapenda kabisa ,mpe mkeo pesa "Mke wangu chukua hii utanunua vitu vyako unavyopenda "usitake kujua atakavyonunua maana wengine mkeo akimuomba pesa tu heee utaulizwa unaenda kununua nini eti ajue ,wapeni wake zenu pesa sio kununua nyama tu nyumbani akila ameshiba basii,moe kutokana na uwezo ulionao""....
..huko udogoni kweni ni chuo gani hicho mlichofuzu cha kupenda pesa,kiliko kuitafuta..?
hiyo nongwa yenu ya kupenda pesa mnajaribu kuihalalisha....mnajitia ulemavu wa kupenda pesa ambao ni tofauti kabisa na kusudio la mungu...
mkuu...hi ni MMU, unataka humu ukute wamejadili 1.5trillion ???Mada za ngono mbona zimezidi
Tunaomba mtupumzishe kidogo ,tukigeuka kidogo mala papuchi mara dudu aiseeeeeh! Hata kama ni nyege mshindo zipunguzeni
Cc:Mahondaw
Duuu sina hilo tendo la ndoa
mkuu...hi ni MMU, unataka humu ukute wamejadili 1.5trillion ???
joke!