pilato93
JF-Expert Member
- Jun 28, 2014
- 6,206
- 6,433
Habari ya muda huu
Naomba nisaidie jibu la swali hapo juu maana nipo kwa pharmacy moja jamaa yangu analalamika tokea azinunue hizi condom hakuwai uza hata moja hii ni miezi kazaa sasa imepita yaani mpaka zime expire leo kuona uzi wa condom ndio nimekumbika aisee
Naomba nisaidie jibu la swali hapo juu maana nipo kwa pharmacy moja jamaa yangu analalamika tokea azinunue hizi condom hakuwai uza hata moja hii ni miezi kazaa sasa imepita yaani mpaka zime expire leo kuona uzi wa condom ndio nimekumbika aisee