Glenn
JF-Expert Member
- May 23, 2015
- 65,797
- 156,922
Kwani huyo mwanamke alikua anaenda kupima yeye tu au?Kosa lako ni ulivyomwambia mkapime, akasema umpe muda yawezekana ulimwonesha kama vile unaamini kaathirika na anataka akuambukize.
Tena yawezekana hata uliwasimulia watu na yeye akayapata.
Ndio maana alikubali mpime ujue afya yake kisha akuache maana angekuacha ungesema kakuacha kwa sababu ameathirika na msimamo wako ulikuwa ni kupima kwanza.
Unavyomshirikisha mtu suala la kupima, ukiona anasita sita, haimaanishi kaathirika. Halafu hautakiwi kumwonesha kwamba unaogopa sana UKIMWI. Wewe mwambie unampenda na unataka mjue afya zenu ili kama ikitokea mmoja hayupo salama, mtumie njia za kujikinga.
Siku nyingine tumia akili.
Hakuna pesa itaachwa kuhesabiwa hata iwe ni 1000/= na kinachonisikitisha zaidi ni amekunywa redbull 3 na total inakuja 10,500/=Kuna wanawake wanapata wanaume jamani. Yani Redbull ya 3500 nayo unaiongelea?
Bora anakupotezea kashakuona una utoto
Kwani kutaja kiasi Cha pesa aliyotumia kumkirimu huyo manzi ni kosa??.Tatizo lako ni zee korofi, huoni anataja hadi 3.5k alizotoa?
Jamaa anasikitika alivyopotezewa na binti huyo,huku ametoa pesa kumnyweshwa manzi.Huyo dem nae balaa anakunywaje redbull 3 kama bia? Ila nawe pia unazingua bill ya 10,500 unaona umepigwa, je kuhudumia familia utaweza kweli?
, Aiseee eti sio Mwanamke ni Mwamba.Mikelele miiingi eti wanawake wanawake kisa 10500, huyo mtu wako kwanza sio mwanamke ni mwamba, mwanamke anakunywaje redbull tatu.
Hiyo 3500 ni mawe?Kuna wanawake wanapata wanaume jamani. Yani Redbull ya 3500 nayo unaiongelea?
Bora anakupotezea kashakuona una utoto
Hakuna pesa itaachwa kuhesabiwa hata iwe ni 1000/= na kinachonisikitisha zaidi ni amekunywa redbull 3 na total inakuja 10,500/=