Tatizo hili na mengine ya kiroho huanza pale just before mimba haijatungwa...
Ni muhimu sana wazazi wakawa wapo vizuri kiroho na kumuomba Mwenyezi Mungu just before tendo la ndoa kuanza ili roho zilizo laaniwa zisipate nafasi ya kujipenyeza. Hapa kuna siri kubwa sana.
Sehemu nyingine muhimu ni pale mzazi anapojifungua...
Ni muhimu sana kumkinga kiumbe aliyezaliwa dhidi ya roho zilizo laaniwa.
Haya mambo yapo, fuatilieni.
Mf.
Fuatilieni binti ambaye pamoja na kubaleghe lakini haoti nywele sehemu za siri, hususani kinenani; nini hutokea 'akilala' na mwanaume.
Yaletwe maelezo ya kisanyansi kwanini kitovu cha mtoto wa kiume kwa mfano kinavyo katika kikigusa sehemu za siri za mtoto basi anapata uhanithi au (japo si wa kudumu akitibiwa)
Wenye uelewa watiririke ili kupeana uzoefu na namna ya kukabiliana na hali kama hizi.
Kipindi nipo njaa kalii basi kuna mdada ilikua nikikutana nae tu ilikua sikosi ya kula nlipohisi hili jambo nlijitahidi sana tuonane tatizo getkali na nimwanafunzi.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.