Ndo maana siku hizi mnaolewa..asa ni jukumu la nani kutoa hela?hata vitabu vya Mungu vinajua hilo.Mi mwanamke bana lazima unigharamie ila labda tu kama unataka hit n run.lolhawa viumbe sijui washatuona sisi wanaume kama mazombi yaani Dem unamwita sehemu pa nauli haifiki hata buku 2 anakuambia nitumie nauli hii yote ni asitumie tuu ela yake hivi anakuja umpe nauli aje anywe, ale, bado mkapigane vita na zaidi apa yeye ndiye anasikia utamu zaidi alafu bado umtoe ela wanaita ya sabuni bado akuambie nauli ya kurudi daa yaani mapenzi sasa yamekua kama Huna ela hupigi Mjengo sasa hii yote hawa viumbe wamekua hawataki kutumia ela yao kwenye starehe sasa kwa nini wasiliwe visewa tuu?