Shunie
JF-Expert Member
- Aug 14, 2016
- 152,998
- 453,891
Ata mm naonaga aibu kumbeba ata rafiki yangu mmoja, labda itokee ghafla mmekutana sehemu upo na rafiki zako ila Ngabu we kwa kuja kuwaanika wasichana zako sijui hawajui masikiniUnajua mambo madogo madogo kama hayo huwa ni dirisha la kukuonyesha mengi kuhusu huyo mtu kuanzia uwezo wake wa kutafakari mambo, maadili yake, ustaarabu alionao, nia yake, na mengineyo mengi.
Mimi kama nimealikwa peke yangu sehemu basi nitaenda mwenyewe. Sitaenda na rundo la watu.
Sasa mtu umemwalika yeye peke yake halafu anakuja na watu wangine watatu huku wote wakitegemea wewe ndo ugharamie chakula na vinywaji?
Really? Seriously?
Where they do dat at?