Joseverest
JF-Expert Member
- Sep 25, 2013
- 51,987
- 69,380
well said mselaaIkitokea umepata msichana au mwanamke ambae unamuona ana tamaa ba pesa zako au mali zako.
Au ikitokea umepata mwanamke anaetaka kupata mali kupitia mahusiano na yeye na wewe mara utasikia nataka hichi mara nataka kile au nina shida kitu flani na ukimnyima ananuna.
Amini usiamini iko siku atakuja kukuua tuu.