Samcezar
JF-Expert Member
- May 18, 2014
- 13,096
- 22,625
Haya ndio matatizo ya kulelewa na upande wa mama , au kukaa na mashangazi. Mtoto wa kiume unakuwa na hoja za kike kike.
Kwahiyo unatuhusishaje na mahusiano ya watu wengine as if tulikuwapo wakati wanatongozana?! ''
Kwanza majority ya hao wanawake, hao wanaume waliwachagua wenyewe kwa akili zao timamu. Hawakuwekewa pistol kichwani. Walitongozwa pengine na potential husband wakachomoa tena kwa nyodo na mapozi, then wakawachagua hao walio nao. Sasa why the blame on all males....?!
Siku zote utalala kitanda ulichotandika.
Kwahiyo unatuhusishaje na mahusiano ya watu wengine as if tulikuwapo wakati wanatongozana?! ''
Kwanza majority ya hao wanawake, hao wanaume waliwachagua wenyewe kwa akili zao timamu. Hawakuwekewa pistol kichwani. Walitongozwa pengine na potential husband wakachomoa tena kwa nyodo na mapozi, then wakawachagua hao walio nao. Sasa why the blame on all males....?!
Siku zote utalala kitanda ulichotandika.