Andie
JF-Expert Member
- Oct 11, 2011
- 713
- 1,641
Mwanamke yeyote yule kwake mazungumzo hua ni emotional treatment. Hawawasiliani ili kupata taarifa na kutatua matajizo (japo hawatakubali ila huo ndo ukweli) wao mawasiliamo yapo kuwafanya wajisikie vizuri ukimwambia ukweli mtakosana asubuhi kweupe ila mwambie uongo wa kumpendeza weeee mtakua marafiki hata papuchi atakupa.
Ukitaka mwanamke akuchukie mwambie au mshauri jambo lolote ukiegamia ukweli.
Ukitaka mwanamke akuchukie mwambie au mshauri jambo lolote ukiegamia ukweli.