Naongelea usawa siongelei connection, au nepotism na feminism kwako ni kitu kimoja?
Hilo nalitambua lakini hatuwezi ku-implement usawa for the sake of usawa, lazima effectiveness zake zionekane mtaani otherwise huo usawa hautakua na maana tena.
Ukipewa elimu maana yake unajengewa uwezo wa kuyatafsiri mazingira na kuja majibu ya changamoto zinazokuzunguka. Ukipewa ajira maana yake automatically unaondolewa kwenye kundi la watu tegemezi. Utawajibika kujilipia mahitaji yako na kuchangia kila kitu unachotumia.
Sasa mwanamke apewe elimu na ajira lakini mwisho wa siku jukumu la kutatua matatizo yake na mahitaji kifedha libebwe na mwanaume, je haki sawa ina tija kwenye jsmii yetu?