dark-prince
Member
- Jul 10, 2020
- 17
- 16
Apo sinza mie nayataka niyaone sijawah ona mambo yao kwani yakoje
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂Samahani niko nje kidogo ya mada hivi shoga akifika kileleni huwa anaharisha?..Samahani kama nitakuwa nimewakwaza lakini
butambala mkuu.Samahani mkuu....
Hiyo Sinza ipo maeneo gani hapa Ushirombo?
sidhani maana alinitoboa muamala kakaMkuu labda alikupenda akaamua ule tunda kimasihara?
hatari sana pale sebleni kwanguBoard room eneo la matukio pale Sinza
Sinza si ipo Kinondoni?Jana tukiwa kwenye foleni zetu za Dar kurudi nyumbani, mmoja ya mshikaji wangu akatuambia amepata mpenzi. Tukamfurahia na nini, tukamuuliza anaishi wapi, akasema anaishi SINZA🙄
Wenzangu 4 kwenye gari wakaanza kuwaka na kuguna "Dah! Mwanamke wa Sinza achana naye, hafai. Pale huna mwanamke" na malalamiko mengi
Mimi nikawauliza "kwani mdada akiishi sinza kuna shida gani?" Kila MTU akaanza kucheka kasoro mwenye mpenzi🚶
Jamani wadau huku embu mnijuze, kwani mwanamke akiishi Sinza kuna shida gani? Wewe ukimpata mwanamke anaeishi Sinza utamkataa?
HatareeeBoard room eneo la matukio pale Sinza
UuuuwiTangu zaman sinza ni nyumbani kwa malay.a, mashoga, na nyumba ndogo.
Nenda utajuaApo sinza mie nayataka niyaone sijawah ona mambo yao kwani yakoje
Kweli eeSinza kiladem kicheche
Kama wajuwa si uniambie tuNenda utajua
Kiru🏃🏃🏃Sinza si ipo Kinondoni?
HahahahahhaUsitake kujua, wewe achana na wanawake wa sinza utanishukuru badae
Me najuaje wakati nimeuliza swaliKama wajuwa si uniambie tu
Aisee haiwezekani demu wangu awe na urafiki na shoga , shoga ni mwanaume na pia ana dinda😇Jamaa yangu anaishi Msakuzi alipata demu sinza,amepanga chumba masta. Siku moja anaenda kwa demu wake akapokelewa vizuri tu akakaribishwa ndani. Baada ya muda kidogo akaingia jamaa ...anafahamiana na dem ni swahiba wake. Mara kidogo, dem akamuomba jamaa watoke nje kidogo yule jamaa anataka kuoga ....
Wakatoka. Mshkaji kapigwa butwaa haelewi elewi. Baada ya dakika kadhaa jamaa kamaliza kuoga akapiga simu warudi tu ndani. Wakaingia. Wakakuta jamaa keshaoga amevaa anamalizia kujipodoa kageukia dressing table. Jamaa akakaa kitandani na dem wake....wanaendeleza stori yao.
Jamaa kashika wanja na chanuo mkono mwingine kamgeukia jamaa anamuomba radhi kwa usumbufu "shem samahani kwa usumbufu..." jamaa kabaki katoa macho, anashangaa mwanaume kashika wanja. Kamaliza kupaka, kaondoka.
Badae demu kamuomba radhi mshkaji na anamwambia isimsumbue yule sio bwana wake....kwanza ni "shoga" tu. Alikua anaishi na Bwana wake Mwananyamala wamekorofisha; anaishi kwa muda pale na demu wa mshikaji.
Mambo ya Sinza.
Aisee haiwezekani demu wangu awe na urafiki na shoga , shoga ni mwanaume na pia ana dinda
Nalog off
khaaaahSamahani niko nje kidogo ya mada hivi shoga akifika kileleni huwa anaharisha?..Samahani kama nitakuwa nimewakwaza lakini